Gesti zote za Tandale umeulizia?
Hapo kwenye red binamu umeniacha hoi, you know places:yo:
hii mutu kwishaonekana?
Hebu acheni masihara, tukutane tukiwa na kiu tujadili cha kufanya. Mdudu awepo kwa ajili ya kufukuza pepo wa kupotea!
cant believe....is he?
Dah... sure atakua kwenye duka la da sophy anauzia mashemejiAu yawezekana kakamatwa na Da Sophy?
Orait Orait...Yawezekana atakuwa kaishia msituni, kwenye machaka yasiyoendekeza kuandika majina kwenye vitabu vya wageni... Yule kijana huwa anahitaji nafasi tu ili a do the needful!uuufff...uuuuufff...aisee hoi hapa....huwezi kudharau amrisho la wazee....ndo narudi toka kucheki hayo maeneo..kote tandale, keko, buguruni hamna kitu....nimekagua mpaka vitabu vya wageni..naambiwa katoka sasaivi!
Msishau kuni:cell:....
Au yawezekana kakamatwa na Da Sophy?
Jamani hiki kikao kifanyikie keko gerezani ili :fish: nae ashiriki
Mkimaliza kuulizana mseme nimtoe!