Is the signal also missing?
Kimey is missing, yeyote atakayemuona atoe taarifa kwa invisible au cheaman wa ISC
Gesti zote za Tandale umeulizia?
Finest keko alipo mkuu wa infide au?
Mara ya mwisho ulimsikia lini?
Kimey is missing, yeyote atakayemuona atoe taarifa kwa invisible au cheaman wa ISC
Either of the two maana anaweza kuwa amepata hasira akaamua kujipeleka mwenyewe, ila pia muangalie keko magurumbasi pale kwenye zile guest za kuingia kwa kupanga foleni ukimkosa hapo muangalie pia buguruni maeneo ya sewa pale
Au yawezekana kakamatwa na Da Sophy?
da sophy is suicidal. Tukutane calabash kwa mikakati ya kumuokoa kijana.Au yawezekana kakamatwa na Da Sophy?