plat num wapo Tanesco paleHello friends,, samahan mwenye kujua mahali ofisi za PLATNUM CREDIT zipo kwa Tanga mjini naomba aniambie,,, wametangaza nafasi ya KAZI nami Niko hapahapa Tanga so naona Bora nikawaone face to face.
Asanteni.
Wametoa tangazo tuma kwa email wewe unaenda face to face ukikosa Ajira Utasema nimelogwa!Ile ni Email ya makao makuu ukituma maombi yanaenda makao makuu then wanapitia kisha wanatoa maamuzi sasa ukienda face to face watakusaidia kweli?By the way nimeomba hiyo kwa emailHello friends,, samahan mwenye kujua mahali ofisi za PLATNUM CREDIT zipo kwa Tanga mjini naomba aniambie,,, wametangaza nafasi ya KAZI nami Niko hapahapa Tanga so naona Bora nikawaone face to face.
Asanteni.
ok bila shaka ni consultants wanahitajikaMkuu walitangaza nafasi ya KAZI sales officer,, elimu form four,, tangazo halijaandika deadline,,,,
Acha Tu!week Kama Mbili ivi Niliomba Nafasi Kwao Boss Kanambia Kulipwa Kwa Kamisheni Nikamwambia Jtatu Naanza Mpaka Leo Sijaenda!Hii Kulipwa Kwa Commission Means Mshahara Ni Jasho Lako!Ukikosa Mteja Huna Mshahara!Kweli Ni Unyonyaji KabisaNafasi gani ya kazi mkuu ama ndio hizo sales executive.... Za kulipwa kwa commission.. Nakushauri tuu ni bora ukalime mkuu kuliko kufanya kazi za kijinga kama hizo... Nina experience ya miezi sita na hiyo kampuni... Labda kama sikuhizi wanatoa mishahara na si commission ni unyonyaji wa kutupwa
Hello friends,, samahan mwenye kujua mahali ofisi za PLATNUM CREDIT zipo kwa Tanga mjini naomba aniambie,,, wametangaza nafasi ya KAZI nami Niko hapahapa Tanga so naona Bora nikawaone face to face.
Asanteni.
Asanteni sana kwa ushauri wadau kwani jambo usilolijua ni sawa na usiku wa giza,, nilikuwa gizaniusipoteze muda na nguvu zako kuomba kazi katika kampuni hii, hakuna mshahara platinumz, utalipwa kwa kamishen huku tatizo likiwa ni kukosekana kwa wakopaji
watumishi hawakopi platnum, kampuni inariba kubwa na janja janja nyingi
