Wakuu salaam.
Niende moja kwa moja kwenye mada. Ilikuwa mwezi wa nne mwaka huu nilipata dharura ya kifedha; ni shida ya haraka ya fedha so nikaona niende kwa hawa jamaa wanajiita Platnum Credit. Wao wanatoa mkopo ndani ya muda mfupi sana ila riba yao ni kali sana. So mi nikawaambia nahitaji mkopo ( ni kama laki sita hivi) ila baada ya miezi mitatu nitalipa hela yenu yote ili nisitishe makato kwenye salary yangu.
Hawa jamaa wana riba kubwa sana yaani fikiria hiyo laki sita niliyokopa inatakiwa nilipe milioni tatu kwa muda wa miaka nane. So tukakubaliana baada ya miezi mitatu nitakuja ku clear deni ili kuachana ni hizo riba( coz ukilipa saizi unalipa ile ile uliyokopa).
Sasa tangu mwezi wa tisa nawadai wanipe balance ya deni langu ili niwalipe, hawataki; mbele ya kutimiza mashati yao waliyonipa like kuandika barua ya kuomba kusitisha deni na kulipia elfu kumi lkn mpaka leo jamaa hawataki kunipa balance yangu.
Mpaka nimekata tamaa jamaa ni kama hawataki kuwaachia watu waliokopa kwao. Sasa nimekuja kwenu kuomba ushauri na mwongozo nifanye nini ili nipate balance yangu niwalipe nimalizane nao, kuna muda nawaza niende polisi maybe nitapata msaada. Lakini kabla ya kufanya yote hayo naombeni ushauri wenu nipite njia gani ili niweze kufanikiwa. Maana naona kwa njia ya amani imeshindikana. KARIBUNI SANA.
Niende moja kwa moja kwenye mada. Ilikuwa mwezi wa nne mwaka huu nilipata dharura ya kifedha; ni shida ya haraka ya fedha so nikaona niende kwa hawa jamaa wanajiita Platnum Credit. Wao wanatoa mkopo ndani ya muda mfupi sana ila riba yao ni kali sana. So mi nikawaambia nahitaji mkopo ( ni kama laki sita hivi) ila baada ya miezi mitatu nitalipa hela yenu yote ili nisitishe makato kwenye salary yangu.
Hawa jamaa wana riba kubwa sana yaani fikiria hiyo laki sita niliyokopa inatakiwa nilipe milioni tatu kwa muda wa miaka nane. So tukakubaliana baada ya miezi mitatu nitakuja ku clear deni ili kuachana ni hizo riba( coz ukilipa saizi unalipa ile ile uliyokopa).
Sasa tangu mwezi wa tisa nawadai wanipe balance ya deni langu ili niwalipe, hawataki; mbele ya kutimiza mashati yao waliyonipa like kuandika barua ya kuomba kusitisha deni na kulipia elfu kumi lkn mpaka leo jamaa hawataki kunipa balance yangu.
Mpaka nimekata tamaa jamaa ni kama hawataki kuwaachia watu waliokopa kwao. Sasa nimekuja kwenu kuomba ushauri na mwongozo nifanye nini ili nipate balance yangu niwalipe nimalizane nao, kuna muda nawaza niende polisi maybe nitapata msaada. Lakini kabla ya kufanya yote hayo naombeni ushauri wenu nipite njia gani ili niweze kufanikiwa. Maana naona kwa njia ya amani imeshindikana. KARIBUNI SANA.