Plata O Plomo: Ulimwengu wa Siri Kiganjani Kwa Binadamu Mmoja[ Pablo Escobar]

mimi nitatoa facts na uhalisia wa fidel pamoja na cuba kwakua sijaisoma au kuisikia tu bali nimeiishi na mpaka sasa asilimia 90 ya maisha yangu yamejengwa kwa itikadi na mafundisho ya ki cuba waliofika huko wanaelewa namaanisha nini, las negras banderas kule vedado ampapo kuna bendera nyeusi 1000 nini tulikua tunafanya in el diaz de ocutubre.......
naomba dunia itambue wamarekani ni washenzi na waongo saaana kwa ujumla ni wanafiki na wao ndio chanzo cha matatizo mengi duniani.
Hapo mwisho ulipomalizia nina kubaliana na wewe kwa 100%
 
nice article for sure....big up sana the bold, unajua mpaka basi....na hiyo narcos nimeshaishusha hapa naenda kuanza iangalia this weekend.
 
Napendaga sana kusingia habari kinzani za uzi original kama hivi. Sasa namsubiri mleta UZI akane na hili then sisi tulio nje tuendelee kujifunza. Akikaa kimya nitajua source of his information ni majarida ya USA ambao since miaka ilee ni maadui wa Cuba na Fidel.

Duh! Kaaaazii kweli kweli...haya Bruce lee ngoja aje na Jet lee nae aje atetee hoja yake.mi natazama tu
ati "..The Bold koma kabisa.."


Listen guys... got no time kutukanana na watu humu mitandaoni.. Hatujuani that's why namuheshimu kila mtu na huwezi kunikuta nimetukana hata siku moja huu Mwaka wa nne niko JF..

Kulikuwa na uwezo wa kuwasilisha hoja zake kwa lugha ya staha tu tukajadili, kwa kusahihisha au kujazia nyama pale anapihisi pamepwaya.. Kulikuwa na umuhimu gani wa kutumia lugha ya kuudhi??


Let's do this..

Huyo ameishi Cuba toka utotoni, mimi hata Chalinze sijawahi kufika..
Huyo anamujua Castro inside out, mimi hata jina simjui..
Huyo ni msomi wa dar'ja la juu, mimi nimeishia la saba.!!


Problem solved.!! Let's move on with life.


Mbarikiwe sana..
 
k
ati "..The Bold koma kabisa.."


Listen guys... got no time kutukanana na watu humu mitandaoni.. Hatujuani that's why namuheshimu kila mtu na huwezi kunikuta nimetukana hata siku moja huu Mwaka wa nne niko JF..

Kulikuwa na uwezo wa kuwasilisha hoja zake kwa lugha ya staha tu tukajadili, kwa kusahihisha au kujazia nyama pale anapihisi pamepwaya.. Kulikuwa na umuhimu gani wa kutumia lugha ya kuudhi??


Let's do this..

Huyo ameishi Cuba toka utotoni, mimi hata Chalinze sijawahi kufika..
Huyo anamujua Castro inside out, mimi hata jina simjui..
Huyo ni msomi wa dar'ja la juu, mimi nimeishia la saba.!!


Problem solved.!! Let's move on with life.


Mbarikiwe sana..
kwanini uudanganye umma kwa majarida na taarifa chonganishi na za uzushi wa wamarekani?
 
T
ati "..The Bold koma kabisa.."


Listen guys... got no time kutukanana na watu humu mitandaoni.. Hatujuani that's why namuheshimu kila mtu na huwezi kunikuta nimetukana hata siku moja huu Mwaka wa nne niko JF..

Kulikuwa na uwezo wa kuwasilisha hoja zake kwa lugha ya staha tu tukajadili, kwa kusahihisha au kujazia nyama pale anapihisi pamepwaya.. Kulikuwa na umuhimu gani wa kutumia lugha ya kuudhi??


Let's do this..

Huyo ameishi Cuba toka utotoni, mimi hata Chalinze sijawahi kufika..
Huyo anamujua Castro inside out, mimi hata jina simjui..
Huyo ni msomi wa dar'ja la juu, mimi nimeishia la saba.!!


Problem solved.!! Let's move on with life.


Mbarikiwe sana..

ndugu The Bold kama unavyodai kua huu ni mwaka wako wa 4 mimi wa nane na pia kama nilivyosema awali sina nawala sihitaji malumbano na wewe ila umenikera saana na pia umeniharibia kabisa hisia zangu baada ya kumtaja comandante kirahisirahisi na kumuhusisha na wauza unga... hivi unamjua castro vizuri? narudia tena endelea kuburudisha umma kwa kuwapa story zako na kutengeneza jina lako ili uonekane wewe upo juu na ni mjuvi wa mengi ila kwa kifupi tu ngoja nikusaidie kitu kimoja katika maisha yako lazima ujifunze kua kama umeamua kua muongo basi jitahidi kua na kumbukumbu nzuri,,,, wewe umemuongelea escober huku ukijiaminisha kua unamjua saana na pia unaijua historia ya maisha yake nje ndani, pia wewe huyohuyo umeelezea kua bwana huyo alikua na jeshi lake pamoja na wanajeshi wa anga waliopata mafunzo libya ila kwa vile umetafsiri hiyo makala bila hata kutumia ubongo wako kufikiria nawewe ukasema kua bwana huyo alifungwa gerezani na pia umeshindwa kuelezea jeshi lake lilikua wapi wakati anafungwa na kuuwawa? kama alikua ana mahusiano na comandante fidel je ilikuaje fidel asimpe msaada pamoja na ulinzi wa ziada kama ndoto yake ilikua kuwaona vijana wa kimarekani wakiteketea kwa unga wa escober?

the bold koma kabisa na usirudie teeeeeena kumtajataja fidel castro ruz katika makala zako ili ufutie watu wajiunge katika grupu lako la whatsapp ili uweze kujitengenezea pesa... kua mkweli na ukweli utakuweka huru.
 
ati "..The Bold koma kabisa.."


Listen guys... got no time kutukanana na watu humu mitandaoni.. Hatujuani that's why namuheshimu kila mtu na huwezi kunikuta nimetukana hata siku moja huu Mwaka wa nne niko JF..

Kulikuwa na uwezo wa kuwasilisha hoja zake kwa lugha ya staha tu tukajadili, kwa kusahihisha au kujazia nyama pale anapihisi pamepwaya.. Kulikuwa na umuhimu gani wa kutumia lugha ya kuudhi??


Let's do this..

Huyo ameishi Cuba toka utotoni, mimi hata Chalinze sijawahi kufika..
Huyo anamujua Castro inside out, mimi hata jina simjui..
Huyo ni msomi wa dar'ja la juu, mimi nimeishia la saba.!!


Problem solved.!! Let's move on with life.


Mbarikiwe sana..
The bold huyo jamaa hapo juu achana nae kwanza hana polite language labda ungemfikiria
Pia hata kama unacopy sio kila mtu anaweza kucopy na kufanya good presentation kama ww unastahili sifa mkuu
Kama hii story si ya kweli anasema umecopy sasa kosa lako liko wap?na source anasema anazo?si aanze kwanza na hizo source kama ni New York times ama American magazine atajua mwenyewe
Endelea kushusha vitu kisha chini mwekee source akawataze kwanza hao anawaoita wazush
Pia hata kama kitu hakipendi atumie lugha nzuri anaazaje kukuambia .....eti...ukome..
Nahisi hajui kwa mini unaitwa The bold
Akawakataze kwanza wamarekani sababu si wewe tu labda hiyo stori imeshacopiwa na watu dunia nzima?atakataza wangap?
 
The bold huyo jamaa hapo juu achana nae kwanza hana polite language labda ungemfikiria
Pia hata kama unacopy sio kila mtu anaweza kucopy na kufanya good presentation kama ww unastahili sifa mkuu
Kama hii story si ya kweli anasema umecopy sasa kosa lako liko wap?na source anasema anazo?si aanze kwanza na hizo source kama ni New York times ama American magazine atajua mwenyewe
Endelea kushusha vitu kisha chini mwekee source akawataze kwanza hao anawaoita wazush
Pia hata kama kitu hakipendi atumie lugha nzuri anaazaje kukuambia .....eti...ukome..
Nahisi hajui kwa mini unaitwa The bold
Akawakataze kwanza wamarekani sababu si wewe tu labda hiyo stori imeshacopiwa na watu dunia nzima?atakataza wangap?
wewe unaemjaza ujinga hujui kama tukiamua kua serious huyu the bold anaweza akaingia kwenye matatizo makubwa sana ni rahisi sana kutafsiri habari yake kwa lugha ya cuba na kumpatia balozi wa cuba tanzania pia kumfungulia kesi na kumuomba atoe ushahidi wa maelezo yake kua Mzee Castro alishiriki katika biashara ya mihadarati, naomba muwe makini najua wengi wenu hamjui castro kaifanyia mangapi nchi yetu pamoja na afrika kwa ujumla nashauri tusitumie vibaya huu uhuru wa mitandao.
 
wewe unaemjaza ujinga hujui kama tukiamua kua serious huyu the bold anaweza akaingia kwenye matatizo makubwa sana ni rahisi sana kutafsiri habari yake kwa lugha ya cuba na kumpatia balozi wa cuba tanzania pia kumfungulia kesi na kumuomba atoe ushahidi wa maelezo yake kua Mzee Castro alishiriki katika biashara ya mihadarati, naomba muwe makini najua wengi wenu hamjui castro kaifanyia mangapi nchi yetu pamoja na afrika kwa ujumla nashauri tusitumie vibaya huu uhuru wa mitandao.
acha mikwara ya kipuuzi wewe fidel castro kawafanya Wacuba kuwa masikini wa kutupwa kwa sera zake za kipumbavu nchi masikini wacuba wengi wameikimbia cuba kwa ajili ya upuuzi wa Fidel
 
The bold huyo jamaa hapo juu achana nae kwanza hana polite language labda ungemfikiria
Pia hata kama unacopy sio kila mtu anaweza kucopy na kufanya good presentation kama ww unastahili sifa mkuu
Kama hii story si ya kweli anasema umecopy sasa kosa lako liko wap?na source anasema anazo?si aanze kwanza na hizo source kama ni New York times ama American magazine atajua mwenyewe
Endelea kushusha vitu kisha chini mwekee source akawataze kwanza hao anawaoita wazush
Pia hata kama kitu hakipendi atumie lugha nzuri anaazaje kukuambia .....eti...ukome..
Nahisi hajui kwa mini unaitwa The bold
Akawakataze kwanza wamarekani sababu si wewe tu labda hiyo stori imeshacopiwa na watu dunia nzima?atakataza wangap?
Wacuba wengi Fidel Casrto alivyokufa walishangilia wewe mkimbizi unajifanya una uchungu nae sana Fidel alikuwa muuaji na dicteta mkubwa amesababisha mateso sana kwa wacuba
 
Wacuba wengi Fidel Casrto alivyokufa walishangilia wewe mkimbizi unajifanya una uchungu nae sana Fidel alikuwa muuaji na dicteta mkubwa amesababisha mateso sana kwa wacuba
wa cuba wengi wangapi? hata libya media zilidanganya kua wengi walifurahi nini kinENDELEA HUKO? HISTORIA YA MAPINDUZI YA CUBA unaijua vizuri? dhiki walizopata wa cuba kisa kibaraka wa wamarekani kapinduiwa mnazijua? kazi alioifanya fidel kuhakikisha kua kila mcuba anapata elim ya kiwango chochote bure n Matibabu bure huku wakiwa wamewekewa vikwazo vya kiuchumi ni kazi ndogo? jambo usilolijua ni sawa na usiku wa giza endeleeni kudanganyana tu
 
acha mikwara ya kipuuzi wewe fidel castro kawafanya Wacuba kuwa masikini wa kutupwa kwa sera zake za kipumbavu nchi masikini wacuba wengi wameikimbia cuba kwa ajili ya upuuzi wa Fidel
upuuzi upi? na sera zipi za kipumbavu? je uhuru wa iraq na libya baada ya saddam na ghadaf upoje?
 
wa cuba wengi wangapi? hata libya media zilidanganya kua wengi walifurahi nini kinENDELEA HUKO? HISTORIA YA MAPINDUZI YA CUBA unaijua vizuri? dhiki walizopata wa cuba kisa kibaraka wa wamarekani kapinduiwa mnazijua? kazi alioifanya fidel kuhakikisha kua kila mcuba anapata elim ya kiwango chochote bure n Matibabu bure huku wakiwa wamewekewa vikwazo vya kiuchumi ni kazi ndogo? jambo usilolijua ni sawa na usiku wa giza endeleeni kudanganyana tu
unajua Cuba ni moja ya nchi masikini duniani sababu ya sera za fidel.....Castro muda wote alikuwa anawaza mapinduzi tu huku cuba inazama kwenye tope la umasikini wa kutupwa......mpaka leo cuba watu wengi wanamiliki vigari vi kobe vya kizamani wanaishi kama zama za mawe
 
unajua Cuba ni moja ya nchi masikini duniani sababu ya sera za fidel.....Castro muda wote alikuwa anawaza mapinduzi tu huku cuba inazama kwenye tope la umasikini wa kutupwa......mpaka leo cuba watu wengi wanamiliki vigari vi kobe vya kizamani wanaishi kama zama za mawe
sababu yako ni mfu na haina mashiko kaka au dada.... unajua Cuba wameishi miaka mingapi huku wakiwa na vikwazo vya kiuchumi vilivyowekwa na marekani pamoja na washirika wao katika ubepari? twende taratiibu ili tuujue ukweli,,,, sera gani mbaya za fidel za kufanya mapinduzi ndio zimepelekea cuba kua nchi maskini?

pamoja na umaskini wa nchi hiyo lakini iliendelea kuthamini utu na haki za msingi za binadam, pamoja na shida zote na njaa walionayo lakini cuba haikusita kugawana kidogo walichokua nacho na maskini wenzao, leo tuna madaktari bingwa wangapi dunia ya tatu ambao woote wamepata elim hiyo huko cuba tena bure? jamani unafiki mbaya saaana mnyonge mnyongeni lakini haki yake mpeni
 
The Bold, Sina uhakika na exposure ulionayo kuhusu america ya kusini na Cuba, hua nakusoma saana na hua naona fictions nyingi katika mada zako ila hua nakaa kimya na hua spendi kukuharibia umaarufu wako katika mada zako, kwa kifupi naomba nikuonye napia kua makini saaana hasa unapowataja watu kama akina comandante Fidel Castro katika habari za uongo uliotukuka, sisi tumeishi cuba kwa miaka mingi kiasi tulipata bahati ya kuonana na comandante mubashara na kuongea nae na kuisoma mitazamo na misimamo yake, huko havana, matanzas, santiago, camaguey, las tunas mpaka pinal de rio ambapo kuna bandari wakazi wa huko hawaijui hata harufu ya cocain, Jose martin international airport pamoja na viwanja vingine vya kijeshi vilivyopo, matanzas na jiron kuna ulinzi mkubwa wa majeshi matatu tofauti na kila jeshi likiwa na utaratibu wake wa kufanya kazi na kupokea maelekezo toka kwa wakuu tofauti.
the Bold koma kabisa kuhumuhusisha Fidel Castro Ruz pamoja na kisiwa pendwa cha Cuba na uongo wako wa madawa ya kulevya ili upate sifa zisizo kua na faida yoyote katika jamii.

hasta la victoria siempre, patria o muerte venceremos, viva cuba libre, viva comandante fidel castro, viva comandante amigo Erenesto Che gueavara.
Cuba es nuestra madre, Cuba y comandante castro siempre estan en nuestra ideas y corazon.
hay qe tener mucho respecto cuando tu quere hablar la historia cubana y la historia de nuestra Fidel.
kwa kifupi fidel hakua na roho mbaya na ya unafiki kama unavyotaka kuwaaminisha watu hapa, hivi kweli castro afurahie vijana wa kimarekani wafe au wawe mateja? kama unayoongea yangekua na ukweli sisi tusingeishi maisha ya dhiki na kula wali uliochanganwa na maharage kila siku huku tukifundishwa uzalendo na ujasiri uliotukuka..........
1. Jifunze kusoma thread na kuelewa.
2. Ukishaelewa, jitahidi utumie kichwa chako kuchambua mambo.
 
wewe unaemjaza ujinga hujui kama tukiamua kua serious huyu the bold anaweza akaingia kwenye matatizo makubwa sana ni rahisi sana kutafsiri habari yake kwa lugha ya cuba na kumpatia balozi wa cuba tanzania pia kumfungulia kesi na kumuomba atoe ushahidi wa maelezo yake kua Mzee Castro alishiriki katika biashara ya mihadarati, naomba muwe makini najua wengi wenu hamjui castro kaifanyia mangapi nchi yetu pamoja na afrika kwa ujumla nashauri tusitumie vibaya huu uhuru wa mitandao.
Tangu viroba vikatazwe tanzania naona kuna watu mnazidi kupoteza fahamu.
 
acha mikwara ya kipuuzi wewe fidel castro kawafanya Wacuba kuwa masikini wa kutupwa kwa sera zake za kipumbavu nchi masikini wacuba wengi wameikimbia cuba kwa ajili ya upuuzi wa Fidel
Eti wampe nakala balozi wa cuba kisha wamtafute The Bold, hivi kwanini watanzania tunapenda kupigana mikwara ya kijinga hivi?
 
sababu yako ni mfu na haina mashiko kaka au dada.... unajua Cuba wameishi miaka mingapi huku wakiwa na vikwazo vya kiuchumi vilivyowekwa na marekani pamoja na washirika wao katika ubepari? twende taratiibu ili tuujue ukweli,,,, sera gani mbaya za fidel za kufanya mapinduzi ndio zimepelekea cuba kua nchi maskini?

pamoja na umaskini wa nchi hiyo lakini iliendelea kuthamini utu na haki za msingi za binadam, pamoja na shida zote na njaa walionayo lakini cuba haikusita kugawana kidogo walichokua nacho na maskini wenzao, leo tuna madaktari bingwa wangapi dunia ya tatu ambao woote wamepata elim hiyo huko cuba tena bure? jamani unafiki mbaya saaana mnyonge mnyongeni lakini haki yake mpeni
hivyo vikwazo vya kiuchumi vimetokana na sera za kipumbavu za Fidel Castro......mbona China sio nchi ya kibepari lakini haijawahi kuwekewa vikwazo? castro amewatesa sana Wacuba kwa sera zake za ujamaa wa kipumbavu na kuwaza ujinga ujinnga tu wa mapinduzi
 
Back
Top Bottom