Mazindu Msambule
JF-Expert Member
- Feb 22, 2012
- 7,509
- 6,863
Hapo mwisho ulipomalizia nina kubaliana na wewe kwa 100%mimi nitatoa facts na uhalisia wa fidel pamoja na cuba kwakua sijaisoma au kuisikia tu bali nimeiishi na mpaka sasa asilimia 90 ya maisha yangu yamejengwa kwa itikadi na mafundisho ya ki cuba waliofika huko wanaelewa namaanisha nini, las negras banderas kule vedado ampapo kuna bendera nyeusi 1000 nini tulikua tunafanya in el diaz de ocutubre.......
naomba dunia itambue wamarekani ni washenzi na waongo saaana kwa ujumla ni wanafiki na wao ndio chanzo cha matatizo mengi duniani.