Places Dubai will never allow Tourists

Kivipi mkuu? Ninavyojua ni mmji mmojawapo kwenye Umoja wa falme za kiarabu (UAE) pamoja na miji kama Sharjah na mingine ambayo makao yake makuu ni Abu Dhabi.

Sasa sijajua wanatumia mfumo gani wa utawala.

Sent using Jamii Forums mobile app
Dubai ni neither country and city!
Wanautawala wao, fedha yao, na katiba yao na Emirates zingine hivyohivyo.

Japo wanashea boda, na jeshi.
 
Nchi zote tajiri duniani hazikosi maskini ispokua Brunei na kidogo Singapore , hao unaowaona hivyo wengi wao ni wageni wanapiga kazi mchana usiku hayo ndio makaazi yao, wengi wao wanakimbia makodi ya vyumba coz huo mji kodi ya chumba ni balaa jengine

Sent using Jamii Forums mobile app
 
261bc9fd027036847d561ada0df4fcf9

Hii picha siyo Dubai ni India
 
Nchi zote tajiri duniani hazikosi maskini ispokua Brunei na kidogo Singapore , hao unaowaona hivyo wengi wao ni wageni wanapiga kazi mchana usiku hayo ndio makaazi yao, wengi wao wanakimbia makodi ya vyumba coz huo mji kodi ya chumba ni balaa jengine

Sent using Jamii Forums mobile app
Licha ya yote picha nyingi alizoweka mleta mada ni photoshop
 
Hapo nimekusoma mkuu shukrani kwa elimu.

Sent using Jamii Forums mobile app

UAE ni muungano wa nchi ndogo ndogo saba, kwahiyo kila moja inakua na mfalme wake mbali na kuna serekali ya pamoja. na kila nchi ina baadhi ya sheria zake za ndani na kuna sheria na mambo mengine ya muungano yapo kwa pamoja.
Kwa mgeni wa matembezi ni ngumu kuona tofauti, ila ukiamua kuweka mkaazi ndio utaelewa
 
Nchi zote tajiri duniani hazikosi maskini ispokua Brunei na kidogo Singapore , hao unaowaona hivyo wengi wao ni wageni wanapiga kazi mchana usiku hayo ndio makaazi yao, wengi wao wanakimbia makodi ya vyumba coz huo mji kodi ya chumba ni balaa jengine

Sent using Jamii Forums mobile app

Mkuu raia kabisa wa UAE hakuna maskini, maskini wote ni wageni ambao cheap labors au watu wasio na ajira wanaotafuta fursa.
 
Title yako ndio ya kiongo. Ulitakiwa angalua uandika " the other side of life in Dubai" sio tourist were never allowed.

Hebu kuwa honest, wametoa wapi ilo katazo? Tourists are free to go around Dubai, it depends on your plans. Kama umetoka Tanzania na umeenda dubai kwa ajili ya kutembelea Dubai Mall na hukuenda sehemu nyengine, utasemaje you are not allowed?

Mimi nishakwenda na kuznguka Dubai yenye magorofa, na dubai yenye nyumba mbovu na hakuna alienizuia. It is your choice tu. Tatizo mkienda kutembelea nchi za watu huwa hamuchagui kutembelea kujua culture zao, mnafuata mazuri tu.
 
Iko wapi hiyo "truth"?

Sasa jione wewe unavyopinga ukweli...

Wewe una ustaarabu.

Kiswahili ni lugha yenye ustaarabu mkubwa sana.

Bisha.


Yes Kiswahili kina ustaarab mkubwa sana na ndiyo maana hatuchomani masime na kuuana hovyo kulazimisha watu kuwa waislam na kujipachika unabii wa uwongo.
 
Namuona mwarab koko FaizaFoxy analia huku akitukana kuwa hizi picha si za ukweli. Yule demu kwa kweli anahitaji maombi ya nguvu ili ajitambue.
 
Back
Top Bottom