HAHAHAHA!wadau, naona huyu jamaa sasa anahitaji serious search au tumweke kwenye lost people
Arusha is not the same without him
halafu wee dada mpe kampani huyo mtu......garma mpandie hewani nakusubiri saa hii
halafu wee dada mpe kampani huyo mtu......
paroko huyo,HEHEHEHEHE:drum:
YOU CAN SAY THAT AGAIN AND AGAIN!usimwambie mtuTeamo Has Changed.
absolutely...big change
mpeleke de-novo GALAXY hapo akacheze kamali na watalii:gossip:....sawa eeh
mpeleke de-novo GALAXY hapo akacheze kamali na watalii
nimpe namba zako akupigie?aje tu nitampeleka hata pale kwazulu natal...PJ anapajua amuulize ni wapi
yani thanks teamo preta na wadau... Sasa hata aijui nifanyenje! Wp hiyo kwa huyo galaxy?
.nimpe namba zako akupigie?
hahahaha!haya mamaa tequiero.
halafu wewe...kwanzia leo mimi naitwa tequiero,ngoja nirekebishe mambo....ha ha ha...teamo bana.......
usijali ngoja niPM mwenyewe nimpe
HAHAHAHA!
kaka nilikwambia upitie kwa stella hapo kuna bia zangu kadhaa
enewei mi naenda chemba leo kuzindua salario yangu,wadau watakuwepo?
piijei ameenda kuvuna viazi vitamu uwanji-hakuna mtandao
hahaha!kwa stella ni pale pale eapoti sasa wameshafunga.....!totoooz la kisukuma lile ,dah!enewei,kwa sasa nenda galaxy ukapambane na wazungunshatoka sasa hebu nielekeze kwa stella
wadau, naona huyu jamaa sasa anahitaji serious search au tumweke kwenye lost people
Arusha is not the same without him