PIUS Msekwa Amvaa Nape

PIUS Msekwa Amvaa Nape

OgwaluMapesa

JF-Expert Member
Joined
May 24, 2008
Posts
10,942
Reaction score
437
Haiwezekeni mchezaji makini aliejindaa kwa mechi afunge bao kwa mkono. Goli kama hilo litafutwa na refa. Naomba wananchi wapuuzie maneno ya upuuzi kama hayo.

kufunga goli la mkono ni faul na moja kwa moja litakataliwa na refa ambayo ni tume ya uchaguzi. Kauli mbaya kama hizo zinaweza kufanya wananchi kukosa imani na serikali na kuleta machafuko na ninaamini haya ninayoyasema ndio msimamo wa chama changu... Pius Msekwa.... 2.07.2015 (ITV, kipindi cha Mzelendo)....
 
Nape ni moja wa viongozi wanaoongea kwa kutumia masaburi.... Safi sana Mzee Msekwa...
 
huyu mzee ni kweli hakuna haja ya kufunga gori la mkono kama ccm watampitisha mtu ambaye amewatumikia watanzania wote kona zote ambao ndo wapiga kura ,wananchi kama umewatumika hawana shida wanalipa fadhira,lakini kama watampitisha mtu ambaye sio msafi, fisadi,mtu ambaye watu hawamfaamu juu ya utendaji kazi wake au mtu hasiye weza siasa za sasa zinazopendwa na vijana ua mtu mpole kiasa cha kutiliwa shaka na wanachi juu ya kufanya maamuzi wajue kazi ya ccm kushida mwaka huu ni mbaya sana,
 
Hata huyu Mzee amepima haliya hewa akaona asawazishe ki style.Ni kweli Mzee Msekwa hajui kama Chama chake ni mabingwa wa magori hayo?.Team yake haijawahi kufunga gori lahivyo nayeye akiwemo kwenye team?,aache kutuhadaa na ajue tunatambua kauli hiyo ya Nape ndi kauli ya Chama chao
 
Haiwezekeni mchezaji makini aliejindaa kwa mechi afunge bao kwa mkono. Goli kama hilo litafutwa na refa. Naomba wananchi wapuuzie maneno ya upuuzi kama hayo.

kufunga goli la mkono ni faul na moja kwa moja litakataliwa na refa ambayo ni tume ya uchaguzi. Kauli mbaya kama hizo zinaweza kufanya wananchi kukosa imani na serikali na kuleta machafuko na ninaamini haya ninayoyasema ndio msimamo wa chama changu... Pius Msekwa.... 2.07.2015 (ITV, kipindi cha Mzelendo)....

huyu mzee muda mwingine huwa anajichanganya ,kwanini,ndo mtu aliyewashauri kamati yaccm wapanue mlango ili kuingiza watu wengi baada ya kusema wabadirishe taratibu na kuongeza nafasi kutoka 5 hadi 7,si muamini hata kidogo.
 
Hata huyu Mzee amepima haliya hewa akaona asawazishe ki style.Ni kweli Mzee Msekwa hajui kama Chama chake ni mabingwa wa magori hayo?.Team yake haijawahi kufunga gori lahivyo nayeye akiwemo kwenye team?,aache kutuhadaa na ajue tunatambua kauli hiyo ya Nape ndi kauli ya Chama chao
Ubunge wake enzi hizo!
 
Magoli ya mkono ndiyo yanayoifanya ccm iendelee kubaki madarakani. Nape yuko sahihi.
 
Lakini Nape si anakuwa na Kinana full time?!Itakuwa mambo ya mnara Babeli,ngoja tuzidishe maombi
 
huyu mzee ni kweli hakuna haja ya kufunga gori la mkono kama ccm watampitisha mtu ambaye amewatumikia watanzania wote kona zote ambao ndo wapiga kura ,wananchi kama umewatumika hawana shida wanalipa fadhira,lakini kama watampitisha mtu ambaye sio msafi, fisadi,mtu ambaye watu hawamfaamu juu ya utendaji kazi wake au mtu hasiye weza siasa za sasa zinazopendwa na vijana ua mtu mpole kiasa cha kutiliwa shaka na wanachi juu ya kufanya maamuzi wajue kazi ya ccm kushida mwaka huu ni mbaya sana,

CCM wakimptsha membe mimi nampgia kura kuga mzray au kile chama cha kilimo zanzbar
 
Habari ya mjini ni lowasa. ...ccm wakmptsha lowasa kura za vijana wanazo tunataka fursa lowasa kashba hatutak rais njaa wa kutuletea ma dc njaa kama kna makonda
 
Nape siku zote anatowaga kauli za kihunihuni
 
Back
Top Bottom