Unajinsia ngapi wewe? Kwasababu hizo tabia na za watu wenye jinsia mbili (Ke+Me).....
Ntakutumia ela ya tuition
sema tuache ngono tuzingatie masomo maana kama mm ni dogo wewe pia dogo mwenzangu thts y umepita um
Ni matatizo ya kuanza kufanya matusi bado watoto na wasichana tofauti. Wewe ushakuwa addicted, kilichobaki mrudie Mungu huwasame wale wajutao na kuchukia dhambi. Mungu ni mwenye rehema atasame. Usiende kuombewa kabla hujatubu na kujutia dhambi, baada ya hapo muite mchungaji uombewe. Ni hayo tu.