Mr Eggo
JF-Expert Member
- Sep 13, 2012
- 2,028
- 1,051
Habari za majukumu wana jukwaa,
Ni muda kidogo umepita tangu niweke bandiko jukwaani,nimerudi tena nahitaji ushauri zaidi lakini pia kujaribu kuona kama kuna ambao wana experience na ambacho nakipitia katika umri huu.
Mi mvulana ambae kwa kweli siboi kimuonekano na kielimu,mpaka nimefikia umri (20's) nilionao nimekua kwenye mahusiano mara nyingi mnoo,,( nasema mnoo coz nimekua na mahusiano na wasichana tofauti tofauti wengi kias kwamba siwezi kuwakumbuka ote).
Nakumbuka tangu nimalize form four ndipo nilianza utundu mpaka namaliza form 6 apo katikati nimadate wasichana wengi zaid kuliko nilivyokua chuo na baada yakumaliza.Enzi izo nikiwa form 5-6 wasichana walikua wananshobokea na wengine ukimtongoza ata kama unatania anakubali hivyo kunifanya nijikute nadate na almost every gal close to me na kitu kibaya zaidi i ddnt knew the value of love ( yani ni chapa ilale).
Kwa kifupi sikua na muda and i dated 3-4 girls at once na haikua tabu, baada yakwenda chuo nkawa mvulana mzuri(kitabia) ambae i had a gal na alikua n mmoja baada yakuachana nae nkiwa third year i had several relationships ambazo they didnt work out kutokana either na mm au a second part.
Tatizo sasa
Nikiwa kwenye hatua za mwanzo za mahusiano hua nakua soo kind,caring and lovely angalau 3-4 weeks na baada ya apo nakua sieleweki tena na kama msichana sio mvumulivu bas within a month we are no longer.
Ichi kitu nimekua nacho mda mrefu ingawa najitahid sana kuji-control na kuficha ingawa bado kipo na it keeps on hapening.Hua najiuliza iv nini kitatokea nikioa maana girl friend mnaweza kuachana nae mda wowote ila mke vipi?
Kuna watu tofauti humu wanaelewa haya mambo tafadhali ushauri wenu ni muhimu
Ni muda kidogo umepita tangu niweke bandiko jukwaani,nimerudi tena nahitaji ushauri zaidi lakini pia kujaribu kuona kama kuna ambao wana experience na ambacho nakipitia katika umri huu.
Mi mvulana ambae kwa kweli siboi kimuonekano na kielimu,mpaka nimefikia umri (20's) nilionao nimekua kwenye mahusiano mara nyingi mnoo,,( nasema mnoo coz nimekua na mahusiano na wasichana tofauti tofauti wengi kias kwamba siwezi kuwakumbuka ote).
Nakumbuka tangu nimalize form four ndipo nilianza utundu mpaka namaliza form 6 apo katikati nimadate wasichana wengi zaid kuliko nilivyokua chuo na baada yakumaliza.Enzi izo nikiwa form 5-6 wasichana walikua wananshobokea na wengine ukimtongoza ata kama unatania anakubali hivyo kunifanya nijikute nadate na almost every gal close to me na kitu kibaya zaidi i ddnt knew the value of love ( yani ni chapa ilale).
Kwa kifupi sikua na muda and i dated 3-4 girls at once na haikua tabu, baada yakwenda chuo nkawa mvulana mzuri(kitabia) ambae i had a gal na alikua n mmoja baada yakuachana nae nkiwa third year i had several relationships ambazo they didnt work out kutokana either na mm au a second part.
Tatizo sasa
Nikiwa kwenye hatua za mwanzo za mahusiano hua nakua soo kind,caring and lovely angalau 3-4 weeks na baada ya apo nakua sieleweki tena na kama msichana sio mvumulivu bas within a month we are no longer.
Ichi kitu nimekua nacho mda mrefu ingawa najitahid sana kuji-control na kuficha ingawa bado kipo na it keeps on hapening.Hua najiuliza iv nini kitatokea nikioa maana girl friend mnaweza kuachana nae mda wowote ila mke vipi?
Kuna watu tofauti humu wanaelewa haya mambo tafadhali ushauri wenu ni muhimu