Tized
JF-Expert Member
- Nov 1, 2012
- 4,025
- 5,973
Pole. Kwa kuwa mapenzi ni upofu kama wengi wasemavyo (sio mimi lkn) BAADA YA MUDA UTAAMINI NI BAHATI MBAYA TU.
1. Kwamba hata kama alikua na shida alishindwa kukuambia nachukua apo kiasi flani either atarejesha au vipi (japo tabia mbovu hio)
2.Kwamba dalali alimshawishi akudhulumu, na kwamba hata dalali angemuambia akuache angekuacha.. tutajuaje na kama dalali hakumshawishi amchukue huyo mpangaji mpya au mama mwenye nyumba?
3. Kwamba alikua anategemea tu hela yako na tayari ilishaingia kwenye mahesabu yake zamaniiiii!!!
4. Kwamba wewe ni mzandiki sana angekuambia kama ana shida usingemsaidia
5. kwamba alimaitain uanaume wake hata kwa kudhulumu ili tu aonekane hajaomba.. si basi angetumia tu ubabe akuambie nimechukua apo kiasi flani..
6. Kwamba atabadilika mbeleni.. atakuwa mwema sana na hatashawishiwa tena.
7. Kwamba .............
1. Kwamba hata kama alikua na shida alishindwa kukuambia nachukua apo kiasi flani either atarejesha au vipi (japo tabia mbovu hio)
2.Kwamba dalali alimshawishi akudhulumu, na kwamba hata dalali angemuambia akuache angekuacha.. tutajuaje na kama dalali hakumshawishi amchukue huyo mpangaji mpya au mama mwenye nyumba?
3. Kwamba alikua anategemea tu hela yako na tayari ilishaingia kwenye mahesabu yake zamaniiiii!!!
4. Kwamba wewe ni mzandiki sana angekuambia kama ana shida usingemsaidia
5. kwamba alimaitain uanaume wake hata kwa kudhulumu ili tu aonekane hajaomba.. si basi angetumia tu ubabe akuambie nimechukua apo kiasi flani..
6. Kwamba atabadilika mbeleni.. atakuwa mwema sana na hatashawishiwa tena.
7. Kwamba .............
hope mpo salama wakuu...
mwez umepita nikaja kuongea na dalali akasema yule mpangaj katoa hela yote laki na nusu.nikaongea na mpangaj akasema ndio katoa yote.nkampgia cm mpnz wang anasema dalali alimshawish afanye hvyo nimsamehe sana.kiukwel mpnz wang kupanga njama ya kunidhulum naona maajab.nimechanganykiwa sana.
Wakuu hv huyu mwanaume atanifaa kwel au nimwache?