love peace
Senior Member
- Sep 10, 2013
- 130
- 37
Hope mko salama wakuu...
Mi nina mpenzi wangu tulikuwa tunapendana sana but kwa sasa nahisi hanifai na hii yote ni kutokana hiki.
Nilipanga chumba somewhere, but kabla sijamaliza mwezi nikapata kazi Morogoro, ikabidi chumba tutafute mtu aingie aturudishie kodi iliyobaki mi nkaja kazini nikiamini mpenzi wangu atafuatilia.
Nikamuunganisha na dalali wangu anayentafutia mtu wa kuingia pale mda kidogo wakampata mtu, kumbe yule mtu alitoa hela yote lakini mpenzi wangu akaniambia katoa elfu tisini na ishirini imebidi ampe dalali mi nkachukua sabini.
Mwezi umepita nikaja kuongea na dalali akasema yule mpangaj katoa hela yote laki na nusu, nikaongea na mpangaji akasema ndio katoa yote. Nikampigia simu mpenzi wangu anasema dalali alimshawishi afanye hivyo nimsamehe sana.
Kiukwel mpenzi wanug kupanga njama ya kunidhulum naona maajab nimechanganykiwa sana. Wakuu hivi huyu mwanaume atanifaa kweli au nimwache?
Mi nina mpenzi wangu tulikuwa tunapendana sana but kwa sasa nahisi hanifai na hii yote ni kutokana hiki.
Nilipanga chumba somewhere, but kabla sijamaliza mwezi nikapata kazi Morogoro, ikabidi chumba tutafute mtu aingie aturudishie kodi iliyobaki mi nkaja kazini nikiamini mpenzi wangu atafuatilia.
Nikamuunganisha na dalali wangu anayentafutia mtu wa kuingia pale mda kidogo wakampata mtu, kumbe yule mtu alitoa hela yote lakini mpenzi wangu akaniambia katoa elfu tisini na ishirini imebidi ampe dalali mi nkachukua sabini.
Mwezi umepita nikaja kuongea na dalali akasema yule mpangaj katoa hela yote laki na nusu, nikaongea na mpangaji akasema ndio katoa yote. Nikampigia simu mpenzi wangu anasema dalali alimshawishi afanye hivyo nimsamehe sana.
Kiukwel mpenzi wanug kupanga njama ya kunidhulum naona maajab nimechanganykiwa sana. Wakuu hivi huyu mwanaume atanifaa kweli au nimwache?