casanova69
JF-Expert Member
- Sep 14, 2015
- 2,375
- 2,193
hahaaaKunya boga basi
hahaaaKunya boga basi
Mbona mkeka?
Hivi Wafrika Atuwezi kuboresha uhu mfumo wa ungo na kutumika kwa manufaa ya vizazi vijavyo?
Usafiri huu unaweza ukaboreshwa kisasa na kutunufaisha kiuchumi huku Ukiwa wenye karama zaidi popote ulimwenguni.Ivi Wafrika Atuwezi kuboresha uhu mfumo wa ungo na kutumika kwa manufaa ya vizazi vijavyo?
Ungo wenyewe ulishavunjika..teh
Mze Mpili bwana, yaani huyu Mze asipojenga magorofa mwaka huu mpaka mwaka wa uchaguzi mkuu ndiyo basi tena hatokuja kujenga tena. Kwa sasa anakula na wabunge tu na viongozi wengine serikalini. Hii ya Yanga ilikuwa ni kujitambulisha rasmi kuwa yeye ni nani, mwoneni hapo anavyokaribia Selous kuelekea kwao Rufiji.
Jamani si Mze Mpili huyu👆
Kwa kizungu kuna kitu kinaitwa rolling shot