Mwachiluwi
JF-Expert Member
- Mar 10, 2022
- 33,467
- 65,786
Hellow mchana mwema
Leo tupike hiki chakula asili yake Madam B atasema
Kwanza chukua tambi zako ulizo kataka ndogo ndogo kisha weka kwenye sufuria ya mafuta yalio chemka kisha anza kuzikaanga mpaka zibadirike rangi na kuwa kahawia zisiungue
Baada ya hapo chukua mchele wako ulio uosha kisha tia kwenye sufuria anza kuukaanga na tambi
Baada ya hapo weka maji yako kama una tui la nazi tumia mimi nazi nakuja kuweka baadae baada ya maji kupungua kidogo
Kisha funika na upunguze moto moto weka mdogo kabisa na ukaee kwa muda mrefu
Baada ya hapo mm nikaweka nazi kisha nikageuza nikaacha nikaanza kupika mboga
Mboga kwa mimi natumia kuku rosti na wewe unaweza tumia samaki au nyama mboga yoyote ulio nayo
Nilianza kukaanga kuku kwanza
Kisha nikaweka vitunguu pamoja na hoho na karoti
Kisha nikaweka nyanya nilio saga
Baada ya nyanya kuiva nikaweka nazi
Baada ya hapo nipo nakula karibuni sana wote
Nipo tayari kwa kusimangwa 😂
Leo tupike hiki chakula asili yake Madam B atasema
Kwanza chukua tambi zako ulizo kataka ndogo ndogo kisha weka kwenye sufuria ya mafuta yalio chemka kisha anza kuzikaanga mpaka zibadirike rangi na kuwa kahawia zisiungue
Baada ya hapo chukua mchele wako ulio uosha kisha tia kwenye sufuria anza kuukaanga na tambi
Baada ya hapo weka maji yako kama una tui la nazi tumia mimi nazi nakuja kuweka baadae baada ya maji kupungua kidogo
Baada ya hapo mm nikaweka nazi kisha nikageuza nikaacha nikaanza kupika mboga
Mboga kwa mimi natumia kuku rosti na wewe unaweza tumia samaki au nyama mboga yoyote ulio nayo
Nilianza kukaanga kuku kwanza
Kisha nikaweka vitunguu pamoja na hoho na karoti
Kisha nikaweka nyanya nilio saga
Baada ya nyanya kuiva nikaweka nazi
Baada ya hapo nipo nakula karibuni sana wote
Nipo tayari kwa kusimangwa 😂