Usiwalishe wanao sasaKhaaaa jaman ila ndo umetukuza Ivo
Dagaa wanashombo sana Tena sana nadhan mnaopikaga dagaa mnaelewa Ile harufu au niseme shombo ni Kali giligilan na iyo cube inaondoa shombo la dagaa ila ladha yake inabak pale paleKwa hivyo viungo , tui la nazi, giligiliani na hio beef cube hivi ile aroma ya asili ya dagaa bado ipo kweli?
Kama nyama ikichomwa kwa kuni, inakuwa na ladha nzuri sana, unatia chumvi tu, unapata ile smoky flavor, aroma ya asili kabisa ya nyama na unajisikia unakula nyama... sipendelei spices nyingi...
Pishi zuri by the way, dagaa ni chakula kizuri sana kwa kujenga mwili, gram 100 za dagaa wakavu zinakupa protini nyingi sana kuliko mayai kwa uzito huo huo. mayai yanaingia mara 4 zaidi...
Msishangae kwanini wanawake kutoka kanda ya ziwa wana maumbo flani ya kibantu, dagaa hizo.. 😆
Commrade una kulaga nini sasa?Japo huwa siwapendi lakini nimetamani
Wewe SAWA ila SI yule anayetaka kuanza degree mwaka huu!Wazima wa afya? Natumain mmekula na kushiba Leo nawaletea pish ya dagaa na ugal chakula pendwa Cha waafrica
Hivi ni viungo vyangu dagaa ambao ni wale wasio na mchanga wa kavu nimewakaanga mwenyewe,nyanya ,kitunguu,chumvi,giligilan na beef cube nikakaanga vitunguu nikaweka giligilan zangu Kwa ambao hamjui giligilani ni kiungo Cha chakula kina harufu yake ya kipekee sana sisi huku kwetu tunapenda kuweka kwenye mboga ndizi nyama na hata pilau harufu yake ni murua hapo nimeweka kuondoa harufu ya shombo za dagaa nikaweka nyanya pamoja na chumvi nyanya zimekaribia kuiva nikaweka dagaa zangu nikaweka na beef cube nikaweka tui langu azam coconut nikaweka giligilan Kwa mara ingine karibuniView attachment 3482360View attachment 3482359View attachment 3482358View attachment 3482357View attachment 3482356View attachment 3482355View attachment 3482353View attachment 3482352View attachment 3482349
View attachment 3482344
Aibu naona mie!Unge kuna na karoti za mstari ingependeza zaidi ila umejutahidi
Wewe vichwa vya nini sasa? Ila unaweza kuanza kula kuboresha ubongo wako.
Kuna watu wenye shida ya figo na moyo(shinikizo la damu) wamezuiwa na daktari kula dagaa.Hawapandi dagaa? Kuna jamaa mmoja alipiga BAN nyumbani kwake kupikwa dagaa
Ohh sawaKarot inaletaga uzito kwenye mboga haswa kama unaweka nasi sijapendelea