Pishi la ugali na dagaa

Pishi la ugali na dagaa

Kwa hivyo viungo , tui la nazi, giligiliani na hio beef cube hivi ile aroma ya asili ya dagaa bado ipo kweli?

Kama nyama ikichomwa kwa kuni, inakuwa na ladha nzuri sana, unatia chumvi tu, unapata ile smoky flavor, aroma ya asili kabisa ya nyama na unajisikia unakula nyama... sipendelei spices nyingi...

Pishi zuri by the way, dagaa ni chakula kizuri sana kwa kujenga mwili, gram 100 za dagaa wakavu zinakupa protini nyingi sana kuliko mayai kwa uzito huo huo. mayai yanaingia mara 4 zaidi...

Msishangae kwanini wanawake kutoka kanda ya ziwa wana maumbo flani ya kibantu, dagaa hizo.. 😆
 
Kwa hivyo viungo , tui la nazi, giligiliani na hio beef cube hivi ile aroma ya asili ya dagaa bado ipo kweli?

Kama nyama ikichomwa kwa kuni, inakuwa na ladha nzuri sana, unatia chumvi tu, unapata ile smoky flavor, aroma ya asili kabisa ya nyama na unajisikia unakula nyama... sipendelei spices nyingi...

Pishi zuri by the way, dagaa ni chakula kizuri sana kwa kujenga mwili, gram 100 za dagaa wakavu zinakupa protini nyingi sana kuliko mayai kwa uzito huo huo. mayai yanaingia mara 4 zaidi...

Msishangae kwanini wanawake kutoka kanda ya ziwa wana maumbo flani ya kibantu, dagaa hizo.. 😆
Dagaa wanashombo sana Tena sana nadhan mnaopikaga dagaa mnaelewa Ile harufu au niseme shombo ni Kali giligilan na iyo cube inaondoa shombo la dagaa ila ladha yake inabak pale pale
 
Wazima wa afya? Natumain mmekula na kushiba Leo nawaletea pish ya dagaa na ugal chakula pendwa Cha waafrica
Hivi ni viungo vyangu dagaa ambao ni wale wasio na mchanga wa kavu nimewakaanga mwenyewe,nyanya ,kitunguu,chumvi,giligilan na beef cube nikakaanga vitunguu nikaweka giligilan zangu Kwa ambao hamjui giligilani ni kiungo Cha chakula kina harufu yake ya kipekee sana sisi huku kwetu tunapenda kuweka kwenye mboga ndizi nyama na hata pilau harufu yake ni murua hapo nimeweka kuondoa harufu ya shombo za dagaa nikaweka nyanya pamoja na chumvi nyanya zimekaribia kuiva nikaweka dagaa zangu nikaweka na beef cube nikaweka tui langu azam coconut nikaweka giligilan Kwa mara ingine karibuniView attachment 3482360View attachment 3482359View attachment 3482358View attachment 3482357View attachment 3482356View attachment 3482355View attachment 3482353View attachment 3482352View attachment 3482349
View attachment 3482344
Wewe SAWA ila SI yule anayetaka kuanza degree mwaka huu!
 
Dagaa nawapenda ila sharti wapikwe na mama yake Mpaji Mungu au mchumba wake Mpaji Mungu
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom