nakwede97
JF-Expert Member
- Aug 9, 2021
- 2,562
- 8,090
Wazima wa afya? Natumain mmekula na kushiba Leo nawaletea pish ya dagaa na ugal chakula pendwa Cha waafrica
Hivi ni viungo vyangu dagaa ambao ni wale wasio na mchanga wa kavu nimewakaanga mwenyewe,nyanya ,kitunguu,chumvi,giligilan na beef cube nikakaanga vitunguu nikaweka giligilan zangu Kwa ambao hamjui giligilani ni kiungo Cha chakula kina harufu yake ya kipekee sana sisi huku kwetu tunapenda kuweka kwenye mboga ndizi nyama na hata pilau harufu yake ni murua hapo nimeweka kuondoa harufu ya shombo za dagaa nikaweka nyanya pamoja na chumvi nyanya zimekaribia kuiva nikaweka dagaa zangu nikaweka na beef cube nikaweka tui langu azam coconut nikaweka giligilan Kwa mara ingine karibuni
Hivi ni viungo vyangu dagaa ambao ni wale wasio na mchanga wa kavu nimewakaanga mwenyewe,nyanya ,kitunguu,chumvi,giligilan na beef cube nikakaanga vitunguu nikaweka giligilan zangu Kwa ambao hamjui giligilani ni kiungo Cha chakula kina harufu yake ya kipekee sana sisi huku kwetu tunapenda kuweka kwenye mboga ndizi nyama na hata pilau harufu yake ni murua hapo nimeweka kuondoa harufu ya shombo za dagaa nikaweka nyanya pamoja na chumvi nyanya zimekaribia kuiva nikaweka dagaa zangu nikaweka na beef cube nikaweka tui langu azam coconut nikaweka giligilan Kwa mara ingine karibuni