Mentor
JF-Expert Member
- Oct 14, 2008
- 20,328
- 23,879
ha ha ..haya karibiaa
na kufunga uwasaidie pia eti..ndo ujirani mwema ulivo
ahahaha....nafunga kishkaji!!!! yani nkiwa home mchana sili...naenda kula kwa mshkji wangu kule kipepeo!!!hahah
ha ha ..haya karibiaa
na kufunga uwasaidie pia eti..ndo ujirani mwema ulivo
ahahaha....nafunga kishkaji!!!! yani nkiwa home mchana sili...naenda kula kwa mshkji wangu kule kipepeo!!!hahah
he he he....yule jamaa yako yule nahisi atapinga hilo..tena kwa kwenda mahakamani..lolz
ha ha ha hiyo inakuwa biriani colourless shosti unikaribishe
rangi zenyewe mchina mtupuuu...sumu sthumu! bora uweke zabibu
Hahahaha....bt she is daring aisee...ah!
Nimetoka kupika biriani. Yaani huwezi amini Majangaaaa
- Mchele ulivyopakuliwa umetoka mweusiiiiiiiii sitanii yaani rangi nyeusi na kijani hata weupe hauonekani
- Kwenye mchuzi ma Karot yamegoma kuiva sijui kwa kuwa hukusema na mimi nikaweka makubwa makubwa. Maana karot zinawekwa mwisho.
- Ma pilipili hoho pia nayo yanatafunika kama mabichi vile.
- Hiii Giligilani inaelea tu juu yaani inaonekana kama mboga za majani zimetiwa mwishoni, inatafunika lakini imeleta sura mbayaaaa kichizi.
- Ninavyokula kuna ladha ya pilipili na mimi sikuweka sa sijuiii zimetoka wapi.
Kiufupi amu umenisaidia nimepata idea lakini next time sema na Quantity ya viungo. Mfano Currypowder nimemiminia pakti yoote matokeo yake imezidi ile mbaya.
Hukusema ni wakati gani unaweka Royco Mchuzi mix ingawa umeitaja.
Pia badala ya mtindi naweza kuweka kitu kingine? Ladha ya mchuzi imepotea kabisaa nadhani ni kwa sababu ya huo mtindi.