Wadau hii nimeiona ktk mojawapo ya mikutano ya cdm,polisi wakikunja ngumi kuitikia salam ya nguvu ya umma,nimekubali pipooos pr ni noma na ndo sababu labda ya serkali nzima kuchanganyikiwa wameona hata vyombo vya dola wanavyojidai navyo vitawahasi muda si mrefu,mmeuona jaman mkutano wa pm pale bkb?nilifikiri mkutano wa diwani wa kashai