Pingu imepata nyufa

Pingu imepata nyufa

Ushimen

JF-Expert Member
Joined
Oct 24, 2012
Posts
42,405
Reaction score
104,817
Wakuu....
Hiyo nafasi nilio acha hapo juu ni kwajili ya salam.
Kwa jinsi wananchi, viongozi wa kidini na wanasiasa wanavyo wanavyo piga kelele......
Huenda namba 1 anahujumiwa ama anashauriwa vibaya ili afike kwenye anguko lake.
Kwanza mambo wa siasa misijui aiseee....☹️
 
Uko sahihi mkuu kusema mambo ya siasa hujui, pia uko sahihi kusema "Huenda....".

Nini tunapata ukakasi kusema kama zamani, "Jiwe muuaji, jiwe mtekaji, jiwe dikteta, jiwe mwizi n.k..."

Leo tunawena "sintofahamu" nyingi, kuogopa? Ahahahahahah...sema suuu, uwe MHAINI😄

Nani atathubu kukuhujumu kwa kila jambo ikiwa anajua atakutana na nini?
  • Mengine hata hayapaswi kuita hujuma endapo unao utashi wa kuulizaz maswali sahihi na kuuinisha taarifa.
  • Unapewa jina la marehemu utangaze uteuzi.
  • Unapewa jina la Fresh from school umpe Ukurugenzi wa shirika
  • Unapewa taarifa za umeme kuenea vijiji zaidi ya vijiji vilivyopo nchini
  • CAG anakuambia mambo ni ya hovyo, we unasema tumepiga hatua
  • Unaambiwa ununue umeme Kenya kisa watu wanafanya hivyo na ni ngumu kusafirisha umeme bila loss, wewe sawa! Nyuma kidogo, mlisema mtauza umeme nje bwawa likikamilika, how? Mtasafirishaje?

Watu wale kwa urefu wa kamba, deni limetoka trilioni 60 kwa miaka 60 mpaka 100 kwa miaka 4, hakuna la maana zaidi ya watu kadhaa kuwa na ukwasi usiondikika, huku nchi ikikosa pesa za kigeni na inflation halisi mtaani ni 300%, wewe uone UNAHUJUMIWA?

Si ajabu sheria ni moja tu sasa, takwimu zitolewe na taasisi ya takwimu tu ambayo ndo hiyo inayosema inflation ni 3.3%
 
Wakuu....
Hiyo nafasi nilio acha hapo juu ni kwajili ya salam.
Kwa jinsi wananchi, viongozi wa kidini na wanasiasa wanavyo wanavyo piga kelele......
Huenda namba 1 anahujumiwa ama anashauriwa vibaya ili afike kwenye anguko lake.
Kwanza mambo wa siasa misijui aiseee....☹️
Pingu iko wapi?
 
"Desert mission, original plan in and out, operation PJLK"

Mi nakumbuka hayo tu!mengine tuendelee kusubiri!

Desert mission =Mission ya nchi kavu huku Tanganyika ndio hiyo no reform no election kupitia upinzani!!

Sasa mkojani anajikuta katikati Hana Cha kufanya coz ukimuacha huru kampeni ya no reform no election ni tatizo,ukimweka ndani tena mhusika Tatizo Sasa afanye nini!!?!!?

Hakuna Cha kufanya!!?he nikiamua nisigombee itakuaje!!?

Desert mission , original plan in and out!!!

Nawaza!
 
Wakuu....
Hiyo nafasi nilio acha hapo juu ni kwajili ya salam.
Kwa jinsi wananchi, viongozi wa kidini na wanasiasa wanavyo wanavyo piga kelele......
Huenda namba 1 anahujumiwa ama anashauriwa vibaya ili afike kwenye anguko lake.
Kwanza mambo wa siasa misijui aiseee....☹️
Mzee Ruksa alishamuonya kuwa adui yako siyo wapinzani bali ni wale wavaa kijani wenzako. Ameelekezwa qibla tayari.
 
Uko sahihi mkuu kusema mambo ya siasa hujui, pia uko sahihi kusema "Huenda....".

Nini tunapata ukakasi kusema kama zamani, "Jiwe muuaji, jiwe mtekaji, jiwe dikteta, jiwe mwizi n.k..."

Leo tunawena "sintofahamu" nyingi, kuogopa? Ahahahahahah...sema suuu, uwe MHAINI😄

Nani atathubu kukuhujumu kwa kila jambo ikiwa anajua atakutana na nini?
  • Mengine hata hayapaswi kuita hujuma endapo unao utashi wa kuulizaz maswali sahihi na kuuinisha taarifa.
  • Unapewa jina la marehemu utangaze uteuzi.
  • Unapewa jina la Fresh from school umpe Ukurugenzi wa shirika
  • Unapewa taarifa za umeme kuenea vijiji zaidi ya vijiji vilivyopo nchini
  • CAG anakuambia mambo ni ya hovyo, we unasema tumepiga hatua
  • Unaambiwa ununue umeme Kenya kisa watu wanafanya hivyo na ni ngumu kusafirisha umeme bila loss, wewe sawa! Nyuma kidogo, mlisema mtauza umeme nje bwawa likikamilika, how? Mtasafirishaje?

Watu wale kwa urefu wa kamba, deni limetoka trilioni 60 kwa miaka 60 mpaka 100 kwa miaka 4, hakuna la maana zaidi ya watu kadhaa kuwa na ukwasi usiondikika, huku nchi ikikosa pesa za kigeni na inflation halisi mtaani ni 300%, wewe uone UNAHUJUMIWA?

Si ajabu sheria ni moja tu sasa, takwimu zitolewe na taasisi ya takwimu tu ambayo ndo hiyo inayosema inflation ni 3.3%
Nilidhani huko bara ndo mabango yamesambazwa nchi nzima kumtukuza MAMA. Kuanzia bandari pale Foro hadi Nungwi... Nikaenda hadi Kizimkazi nikarudi hadi Mwembeladu pale kote ni mabango tu mabango mabango mabango! Ametenda...amefanya... Ovyo sana!
 
Nilidhani huko bara ndo mabango yamesambazwa nchi nzima kumtukuza MAMA. Kuanzia bandari pale Foro hadi Nungwi... Nikaenda hadi Kizimkazi nikarudi hadi Mwembeladu pale kote ni mabango tu mabango mabango mabango! Ametenda...amefanya... Ovyo sana!
😅😅😅
 
Back
Top Bottom