CCM jamani ndo TATIZO NA CHANZO CHA UMASKINI WETU..Period.Nimechoka na hawa wababaishaji maana kila kitu hawana jibu...leo kuna binamu yangu mmoja kanipigia simu anahangaikia pension ya baba yake mwaka wa nne huu huku kila kitu walichoambiwa walete wameleta lakini visingizio tuu kama vya pinda ndio vimejaa ile serikali,bila kuwaondoa CCM umaskini ni halali yetu!