GHOST RYDER
JF-Expert Member
- Jun 10, 2011
- 1,025
- 475
Muda Mfupi uliopita Waziri Mkuu Mheshimiwa Mizengo Pinda kamaliza mazungumzo na Waandihi wa Habari wa Vyombo mbalimbali na kusisitiza kuwa Taarifa kamili kuhusu Mawaziri wanaodaiwa kujiuzuru atazitoa rasmi Jumatatu atakapokuwa akiahirisha kikao cha Bunge.
Maswali ni mengi kwa kila nayeisikia kauli hii:
Ahadi yake ni Jumatatu
Tunaendelea kusubiri
ADIOS
Maswali ni mengi kwa kila nayeisikia kauli hii:
- Nini kimejitokeza hapa
- Kuna aliyezuia maamuzi haya yasipate baraka?
- PM kashikwa na kigugumizi gani?
- Mbona kila jambo katika kiako cha jana yalishafahamika mpaka maazimio?
- Kikao cha leo kilikuwa na Agenda gani?
- Ni kweli anasubiri baraka za Rais?
- Ilikuwa sanaa?
- Au ni mchezo gani unataka kufanyika hapa?
- Kwanini Spika kaahirisha Bunge bila kuusoma Muongozo uliohusu ufafanuzi wa Serikali juu ya suala hili?
- Kwanini wameiacha nchi katika sintofahamu kiasi hiki?
Ahadi yake ni Jumatatu
Tunaendelea kusubiri
ADIOS
Akihojiwa na waandishi wa habari amedai kwamba hajapokea barua toka kwa waziri yeyote