Ni usanii uleule. I will never be fooled.
huwezi kuwa waziri mkuu wa tanzania ya sasa kisha ukaesabiwa miongoni mwa masikini. haiwezekani jamani tuseme ukweli
Mtoto wa mkulima so what! What we need is somebody who can develop our country faster. Mimi naona Lowassa is far better!
anajua kula na vipofuuu huyuupinda you can fool some people for sometime but you can't fool all the people all time,you just a pretender,a gold digger,a puppet,disgraced who do nothing as expected by most of wananchi but only used by mkwere as microphone...pinda you'are a shame
Ni kweli kabisa hata mimi namkubali Lowasa kwa action, ukikosea anakuchukulia hatua na hakuna longo longo. Tatizo la Lowasa ni kupenda mali kupita kiasi na hajali imepatikana vipi, yaani anafanya mema kwa ajili ya nchi kwa 100%, halafu anaharibu kwa 150%! Hilo linanitatiza sana kati ya hawa watu wawili, kwani Pinda haibi ila anaacha au hachukui hatua kwa hao wahalibifu, na sio kwamba hajui uhalibifu unaofanyika ila anachofanya yeye ni kulalamika kama mwananchi wa kawaida asiye na mamlaka ya kubadilisha mambo. Naweza sema wote wawili hawafai, anayefaa ni Magufuli tu ila Mkuu hawezi mteua maana anajua jamaa atafanya kazi kiasi cha kumfunika rais na wananchi wakaweka tumaini lote kwa Magufuli.
VILLAGE LIFE: The now famous label for Prime Minister Mizengo Pinda, Son of a Peasant is amply illustrated in this picture as he adjusts his gum boots ready for another busy day in his farm. And what a better way to start the day than having a cup of hot tea being prepared in an open air kitchen! Mr Pinda is on a Christmas and New Year holidays at his home village in Mpanda District. Second left is his wife, Tunu. (Photo by PMO)
Mtoto wa mkulima so what! What we need is somebody who can develop our country faster. Mimi naona Lowassa is far better!