Babylon
JF-Expert Member
- Feb 5, 2009
- 1,332
- 82
- Thread starter
- #81
Wana JF Mh. Pinda ni mtu makini sana, mtegemee kuwa atakuwa rais baada ya JK.
Wazanzibar wanachotaka kufanya ni sawa na Sungura kuomba ngono kwa Tembo.
Ni kweli nakubaliana na wewe kuwa Mh pinda ni makini isipokuwa watu wake anaowaongoza ndio mbinde,hivi karibuni aliwahi kusema kuwa Rais Mstafu Ben mkapa ni mtu safi hata mie naelewa hivyo kuwa yule Mkapa ni mtu wakanisa na ni mtu safi kama alivyokwisha sema pinda sasa utakuta watu humu eti wanakejeli na kusema yeye ni mwizi kaiba cha nani ?hata Rasi wetu amesha sema achiliwe mzee mkapa apumzike sasa nyie wengine hamtaki .(wajinga ndio waliwao)