Pinda kutumia busara unamaanisha nini

Pinda kutumia busara unamaanisha nini

mwandiga

JF-Expert Member
Joined
Dec 5, 2011
Posts
1,506
Reaction score
664
Nimemsikia Pinda anasema bunge litumie busara kujadili escrow, anamaanisha nini huyu. Anatetea wezi huyu. Busara ndio nini. Majaji wamepewa fedha anadhani watakubali wajadiliwe, thubutu yako hawapendi ujaji. Wateule wa profesa wana matatizo sana. Pinda unamaanisha unajificha nyuma ya mahakama au
 
Nimemsikia Pinda anasema bunge litumie busara kujadili escrow, anamaanisha nini huyu. Anatetea wezi huyu. Busara ndio nini. Majaji wamepewa fedha anadhani watakubali wajadiliwe, thubutu yako hawapendi ujaji. Wateule wa profesa wana matatizo sana. Pinda unamaanisha unajificha nyuma ya mahakama au

Kauli ya Lisu kuhusu majaji nafikiri imetimia sasa.
 
Mweee huyu mzee kanitolea mpya leo eti tumia busara yaani mwiizi ndugu zetu wanafia hospital kwa kukosa huduma, umeme tanzania umekuwa anasa , huduma ya maji safi ni kama kusaka dhahabu kwenye mchanga halafu leo hii anaudhubutu wa kusema busara kwa wezi kweli? Halafu eti anataka kugombea uraisi labda wa kufuga nyuki katavi .
 
Nimemsikia Pinda anasema bunge litumie busara kujadili escrow, anamaanisha nini huyu. Anatetea wezi huyu. Busara ndio nini. Majaji wamepewa fedha anadhani watakubali wajadiliwe, thubutu yako hawapendi ujaji. Wateule wa profesa wana matatizo sana. Pinda unamaanisha unajificha nyuma ya mahakama au
Pinda ana maana busara ya kusikiliza barua iliyotoka mahakamani, kule ambako majaji nao wamepata mgao.
 
anakumbatia mafisadi uyo anataka busara gani itumike kwa watu wachache waliokosa uzalendo wa nchi yako kwa kutafuna mabilioni ya pesa,wakati mtu akiiba kuku mtaani hanapigwa nyudo ya miaka kumi bira ya busara kutumika sheria ni msumeno bwana tunataka report ijadiliwe bungeni
 
Nimewahi ku-comment humu kuwa Pinda kawekwa pale kwenye ile nafasi na mr. Dhaifu kwa maslahi fulani. Kwa kujua au kutokujua anatumika kama kipoozeo hali ya joto inapoongezeka. Nimewapenda wabunge waliokuwemo bungeni leo kwa jinsi walivyomzomea baada ya kauli yake ya eti, busara itumike katikka kuwajadili wezi.
Rai yangu kwake ni kuwa arudishe ofisi ya watu na amwambie dhaifu alete zile epa tuzipangie matumizi.
Ndugai big-up sana kwa hekima zako na ahadi yako kwa umma juu ya mjadala kuendelea kama ulivyoupanga. Kumbuka bunge la katiba lilipelekwa mahakamani likapuuzia na kuendelea na vikao vyake. Je, hali ile imatofautianaje na hii ya sasa?. Pinda acha kupindisha hoja ziache zinyooke na kuwanyoosha wezi. Natamani nimwone ngedere ni nani kati ya wale walioitana.
Bunge likishindwa kuamua tutawaamulia kwenye masanduku ya kura na mtaani.
Busara anayoitaka akaichukue kwa Tunu na si hapo. Aende na mwanasheria wake kuzimu ikibidi.
 
Inabidi tuingize snipers wa kutosha nchini wakituletea ujinga haya majizi.
 
Mnakumbuka kauli aliyotamka pinda mara tu alipoteuliwa kuwa waziri mkuu ..........Mungu......alisema maneno flani ya kuashiria uadifu wake siikumbuki vizuri. Alidhani cheo kile ni rahisi aisee kumbe aliyekua amejiudhuru nae alikua na ukweli moyoni mwake lkn ni nani angemsikiliza ikiwa watu wote walimwita fisadi. Naikumbuka na kauli ya El aliposema au ni huu uwaziri mkuu .
 
Pinda kalewa mvuke wa gesi ya Mtwara,hajielewi anaongea nini! Kwisha kazi,anajaribu kumficha twiga kwenye kiroba,ataweza?😛eep:
 
Kwa hili la IPTL lazima wang'oke aisee, si walisema wenzao ni matumbili, sasa hao hao matumbili ndo watawafanya mbaya, daaah hawa jamaa kiukweli unafika mahali unaanza kucheka tu japo una maumivu makali.
 
kwa hili lazima ang'oke mmoja mmoja, hapo sasa ndo tunaona nani tumbili ha ha haaa, inafikia kipindi unabaki kucheka tu japo una maumivu makali moyoni.
 
Nimewahi ku-comment humu kuwa Pinda kawekwa pale kwenye ile nafasi na mr. Dhaifu kwa maslahi fulani. Kwa kujua au kutokujua anatumika kama kipoozeo hali ya joto inapoongezeka. Nimewapenda wabunge waliokuwemo bungeni leo kwa jinsi walivyomzomea baada ya kauli yake ya eti, busara itumike katikka kuwajadili wezi.
Rai yangu kwake ni kuwa arudishe ofisi ya watu na amwambie dhaifu alete zile epa tuzipangie matumizi.
Ndugai big-up sana kwa hekima zako na ahadi yako kwa umma juu ya mjadala kuendelea kama ulivyoupanga. Kumbuka bunge la katiba lilipelekwa mahakamani likapuuzia na kuendelea na vikao vyake. Je, hali ile imatofautianaje na hii ya sasa?. Pinda acha kupindisha hoja ziache zinyooke na kuwanyoosha wezi. Natamani nimwone ngedere ni nani kati ya wale walioitana.
Bunge likishindwa kuamua tutawaamulia kwenye masanduku ya kura na mtaani.
Busara anayoitaka akaichukue kwa Tunu na si hapo. Aende na mwanasheria wake kuzimu ikibidi.

very hopeless PM than ever hapaned before
Halafu Eti ndio awe RAISI wetu kama uwaziri mkuu umemshinda tutegemee nin?
 
Nimemsikia Pinda anasema bunge litumie busara kujadili escrow, anamaanisha nini huyu. Anatetea wezi huyu. Busara ndio nini. Majaji wamepewa fedha anadhani watakubali wajadiliwe, thubutu yako hawapendi ujaji. Wateule wa profesa wana matatizo sana. Pinda unamaanisha unajificha nyuma ya mahakama au

Pale alikuwa siyo yeye
 
Pinda ana maana busara ya kusikiliza barua iliyotoka mahakamani, kule ambako majaji nao wamepata mgao.

Mahakama ni mhimili inayoweza kusawazisha issue tena kimya kimya. Majaji hawapo tayari kudhalilishwa mbele ya umma wa watanzania wanaokufa kwa kukosa ARV, Alu, nk. Michango ya maabara kwa ajili gani??? Kuna mtoto wa jaji anasoma shule za asante kayumba wanaotembea peku zaidi ya km 10?
 
Back
Top Bottom