Mwan mpambanaji
JF-Expert Member
- Apr 3, 2008
- 482
- 131
Tangu mh Lema aseme Pinda kadanganya bunge na umma,kumekuwepo na jitihada nyingi za serikali katika kujaribu kutafuta ukweli wa tukio zima la umeya wa arusha,ofisi ya waziri wanakumbuka shuka asubuhi
katika hali ya kuchanganyikiwa wamemwita ghafla Mkurugenzi wa manispaa ya arusha ili apate kutoa taarifa sahihi,ukweli ni kuwa serikali imeshutushwa sana na kujiamini kwa viongozi wa chadema,habari kutoka ndani ya chadema zinasema kuwa wana ushahidi wa maandishi na wa video hivyo watadhibitishia bunge na umma kuwa pinda ameongopa
na kama Chadema wakitoa ushahidi wao huo Pinda atapaswa kuwajibika kwa kujiuzulu
ni swala la muda
katika hali ya kuchanganyikiwa wamemwita ghafla Mkurugenzi wa manispaa ya arusha ili apate kutoa taarifa sahihi,ukweli ni kuwa serikali imeshutushwa sana na kujiamini kwa viongozi wa chadema,habari kutoka ndani ya chadema zinasema kuwa wana ushahidi wa maandishi na wa video hivyo watadhibitishia bunge na umma kuwa pinda ameongopa
na kama Chadema wakitoa ushahidi wao huo Pinda atapaswa kuwajibika kwa kujiuzulu
ni swala la muda