sasa kama hivyo ndivyo mbona mwataka kulazimisha wote wafunge? tenganisha dini na matendo ya mtu
Hehehehe, hakuna alolazimishwa kufunga, hakuna aloambiwa kuwa ukila utatiwa jela ama utapigwa fine, katika uislam Kufunga ramadhan ni kama kusali, ni juu yako mwenyewe ukila kwani si moto utapigwa wewe? Kikubwa maimamu wanahamasisha watu kufunga ma kufanya inada kwa wingi na sio kumlazimisha mtu kufunga! Unajua kulazimisha? Kulazimisha jambo ni kama mwanasheria mkuu wenu aliposema kuwa ukikataa sensa jela miezi sita ama fine laki sita, huko ndo kulazimisha