Maelezo hayo hapo chini yametolewa na Mch Msigwa kwenye FB yake. Ni ukweli, wazanzibari wanalazimisha watu kufunga. Ndugu zangu waislamu tuelewe, kufunga ni ibada kati ya binadamu na Mola wake. Sasa kwanini mnalazimisha watu wasio waislam au waislam wasiotaka kufungu wafunge? Ua uislam ni udikteta? Ukristo haulazimishi mtu kuishi kikristo maana imani ndio muhimu zaidi kuliko matendo:
"Siku ya ijumaa ya tarehe 20.7.2012 waziri wa Sheria na katiba mh. Abubakary Khamis alihutubia taifa la Zanzibar kupitia vyombo ya ZBc-TV na ZBc radio ,akiwataka wananchi wote wanoishi Zanzibar ,kuheshimu mfungo wa ramadhani ,na Alitoa maelekezo kwa vyombo vya dola, kuwa kamata wale wote watakaokutwa wanakula mchana. Kwa kile alichokiita kuwashawishi waliofunga. Pia alipiga marufuku migahawa yote kufunguliwa na kutoa huduma ya chakula na chai kwa wateja wakati wa asubuhi na mchana, isipokuwa usiku tu, Kama vile Hitoshi waziri huyu aliviagiza vyombo vya dola, kuwa kamata wale wote watakaovaa nguo fupi, hasa wanawake za kuwatamanisha wanaume. Katiba ya ya Jamhuri ya muungano wa Tanzania inasema Kila mtu anayohaki ya kuamini dini anayotaka ,na swala la katiba ni la muungano ,katika Majibu yake waziri mkuu alinishitua sana kwa kile alichodai Zanzibar kuna waislamu wengi hivyo tamko Hilo ni halali japo ni kuikanyaga katiba, na kwa Bahati mbaya radio nyingi za dini ya kiislamu zimenishambulia na kukimbilia swala la nguo fupi,baadala ya hoja ya msingi ya Uhuru wa kuabudu ,mwislamu akiwa mmoja katika kundi la wakristo 1000 lazima haki yake ya kiimani ilindwe na kuheshimiwa,hivyo hivyo kwa mkristo,tusijaribu kupotoshwa na watu wasiotaka kufikiri,waziri mkuu amelipotosha taifa.baadala ya kutukana na jaziba jibu hoja ya kikatiba,Mbona tanga,mtwara ,lindi ambako kuna waislamu wengi amri hiyo haijatolewa, double standard............"
"Siku ya ijumaa ya tarehe 20.7.2012 waziri wa Sheria na katiba mh. Abubakary Khamis alihutubia taifa la Zanzibar kupitia vyombo ya ZBc-TV na ZBc radio ,akiwataka wananchi wote wanoishi Zanzibar ,kuheshimu mfungo wa ramadhani ,na Alitoa maelekezo kwa vyombo vya dola, kuwa kamata wale wote watakaokutwa wanakula mchana. Kwa kile alichokiita kuwashawishi waliofunga. Pia alipiga marufuku migahawa yote kufunguliwa na kutoa huduma ya chakula na chai kwa wateja wakati wa asubuhi na mchana, isipokuwa usiku tu, Kama vile Hitoshi waziri huyu aliviagiza vyombo vya dola, kuwa kamata wale wote watakaovaa nguo fupi, hasa wanawake za kuwatamanisha wanaume. Katiba ya ya Jamhuri ya muungano wa Tanzania inasema Kila mtu anayohaki ya kuamini dini anayotaka ,na swala la katiba ni la muungano ,katika Majibu yake waziri mkuu alinishitua sana kwa kile alichodai Zanzibar kuna waislamu wengi hivyo tamko Hilo ni halali japo ni kuikanyaga katiba, na kwa Bahati mbaya radio nyingi za dini ya kiislamu zimenishambulia na kukimbilia swala la nguo fupi,baadala ya hoja ya msingi ya Uhuru wa kuabudu ,mwislamu akiwa mmoja katika kundi la wakristo 1000 lazima haki yake ya kiimani ilindwe na kuheshimiwa,hivyo hivyo kwa mkristo,tusijaribu kupotoshwa na watu wasiotaka kufikiri,waziri mkuu amelipotosha taifa.baadala ya kutukana na jaziba jibu hoja ya kikatiba,Mbona tanga,mtwara ,lindi ambako kuna waislamu wengi amri hiyo haijatolewa, double standard............"