Huu mlundikano wa maDaktari hospitali za Dar unatokana na nini. Tarafa ninayotoka kuna kituo kikubwa tu cha afya tangu miaka ya mwanzo ya 80. Hajawahi kuletwa Daktari pale! Nimeshangaa kusikia Amana ina Madaktari zaidi 30 mbali na Interns wa kila mwaka.