Pinda Aliukataa Uwaziri Mkuu

Sala yangu kwa Mwenyezi Mungu ni kwamba Mhe. Pinda ataweza ku-persuade J.K. kutowashirikisha wezi ktk Cabinet yake mpya.

Hata hivyo Chadema kitaendelea na mikakati na misisitizo yake ya kutaka Mabadiliko ya kweli. Hakuna kulala vijana, mpaka Kieleweke.

Mzee mbona chama kinaonekana kukosa msimamo na mshikamano, mara hakimtambui rais, mara kinamtambua lakini hakitambui matokeo (what is that). Chama kinakosa sauti moja, wengine wanaamua ku walk out, wengine wanagomea walk out.

Na ile walk out ilipata baraka za wananchi na wapiga kura wenu?
 
si gongo la mboto bali ni kule PUGU ndipo anapojenga mjengo wake wa kupumzika baada ya kustaafu...awapo mjini hupendelea sana kwenda huko na kukagua maendeleo
 
Kama ni kweli nadhani itakuwa aadhali bse mambo ya kuwa ceremonial leader nayo inakera
 
Ndugu wana JF wenzangu, hebu wakati mwingine tufanyie taarifa hizi tafiti kabla ya kuziweka humu ndani. Hii inatupotezea maana nzima ya globu yetu ya JF ya 'GREAT THINKERS'. Kwa kweli mie inaniumiza sana kuona tunapoteza mwelekeo wetu wa kuelimisha jamii ya Watanzania. Na tujitofautishe na Globu zingine kwani wana JF tunasifika kwa kutoa hoja zilizo kwenda shule, hebu tujirekebisheni basi wakuu wenzangu.

Choo ulichoingia si cha jinsia yako,uwe unasoma maandishi mlangoni kabla ya kuingia.
 
Waziri mkuu Mizengo Pinda aliukataa uwaziri Mkuu na ikalazimika JK atume watu wakamshawishi na kupelekea jina lake kushindwa kupelekwa bungeni asubuhi kwa ajili ya kupitishwa, Katika kumshawishi aikubali tena nafasi hiyo JK alimwambia Mtoto wa Mkulima kwamba sabau miaka mitano iliyoisha hatujafanya viziri ndio maana unanitosa? Pinda alikubali kuendelea kwa sharti la kuwa na equal say katika kuunda baraza la mawaziri na hii ndiyo inayopelekea baraza kuchelewa kutangazwa.

Source; system


siyo kweli maana mimi nilikuwa huko
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom