mawazotu
Senior Member
- Apr 27, 2010
- 151
- 79
Mh: Pinda hana tatizo namimi namuunga mkono kama wanataka utoke wakufukuze tu..... tatizo ni mfumo wautawala waziri mkuu hana meno na ambayo anayo ni kwa baadhi ya mawaziri na makatibu wa kuu coz kunawengine UNTOUCHABLE ...... baadhi ya mawaziri na makatibu wakuu, wakuu wa mkoa , wakuu wa wilaya , wakurugenzi and the list goes on and on.. uteuzi wao umesukumwa na urafiki au undugu na Mkuu na kwa hili Mhinda hawezi kuwawajibisha ipasavyo..... sina wasiwasi na uwezo, uzoefu na uelewa wa uongozi aliyonao Mh Pinda