imeeleweka lkn ongezea pilipili basi
jamani hili.swala la waziri mkuu. kusema yuko tiari kuachia ngazi mnaonaje. naleta kwenu wana jf
wewe ulichandika ni sawa kulingana na upeo wako,
ila sisi wenye upeo mpana zaidi yako tunasema tatizo siyo pinda. tatizo ni mfumo mzima wa utawala mbove ambao tunaupigia kelele kila siku, na mpaka sasa bado tupo kwenye mchakato wa kuubadlisha kupitia KATIBA MPYA
pinda anateuliwa tu hana meno kikatiba ya kungata mpaka aombe ruhusa kwa bosi wake, kama bosi hataki yeye atafanya nini?
kwa katiba tuliyo nayo waziri mkuu ni kama kiranja tu. hawezi kumwadhibu mwanafunzi , labda kumripoti kwa mwalimu mkuu yeye ndo atoe adhabu
kila mara tunapowaambia watawala kwamba katiba ni mbovu hawasikii, maneno ya pinda yanadhiirisha umuhimu wa katiba nzuri yeneye mifumo, na vyombo, taassisi imara za utawala, vinginevyo pinda ni mbuzi wa kafara
Kuwa kiongozi wa serikali kwa mfumo uliopo sasa ni kujitafutia lawama tupu kwa wananchi - - Pinda upo sahihi.
Tatizo la wwtanzania ni unafiki. Yaani huyu mleta uzi kaangalia yale yampendezayo tu kati ya mambo mengi aliyoongea Pinda jana. Kwani si kweli kwamba kazi ya uwaziri mkuu si ya kuomba? Kwani si kweli kwamba wabunge wanaweza kumuondoa waziri mkuu wakiona kuwa hafai? Sasa mbona hawamuondoi? Alichosema Pinda jana namuunga mkono. Kwamba ikiwa wizara moja inalegalega, huwezi kusema kuwa waziri Mkuu hawajibiki au ameshindwa kuisimamia. Hivi hata katika familia zetu, haijitokezi kuwa na mtoto mtukutu na asiyependa shule licha ya juhudi za wazazi?
Kwani kukiri kuwa kazi ni ngumu ina maana nimkushindwa kazi? Mbona Mbowe amewahi kusema kuwa uenyekiti ni kazi ngumu, ina maana na yeye kazi imemshinda! Kama ndo hivyo, mbona anapambana na Zitto anayetaka nafasi hiyo?Pinda ni matokeo ya mfumo butu wa kisisasa ulioasisiwa na Chama Tawala.
Kwa mfumo huu mtu yeyote yule anaweza kuingia katika madaraka ya juu kwa maslahi na matakwa ya wanaoshikilia huo mfumo butu wa CCM ambao umeambukiza hata Katiba ya Jamhuri ya Muungano!
Ubutu wa mfumo huu ndio huohuo unaowapa Ubunge wa Kugawiwa wateule wa Rais, wanaoungana na waliobebwa kwenye chaguzi huko majimboni kwenda kupitisha majina ya wachovu kama kina Pinda na kupitisha Katiba isiyo na maslahi kwa wananchi.
Ubutu wa nfumo wa CCM unaoshabikia Rais kuachiwa kuteua mawaziri mizigo ambao leo wanalaumiana wenyewe kwenye mikutano yao ya hadhara na vikao vya juu vinaitishwa kutafuta nusuru kwa athari tokana na udhaifu wa viongozi waliowekwa madarakani pasipo kuzingatia uwezo wala sifa, zaidi ya kujua kuimba sana, kushangilia kwa sauti, na kutumia pesa!
Acheni unafiki wenu Pinda anapokiri kuwa kazi ni ngumu anadhihirisha ubovu wa mfumo butu huo ulioasisiwa na CCM, na ndio maana anafanya kazi katika mazingira ya MIZENGWE iliyo PINDA!
Hujui kuwa TAMISEMI inabeba wizara za kisekta zote? Ndo inasimamia halmashauri zote ambazo zimejaa wakurugenzi waliowekwa na mafisadi akina Lowasa? Kwa hali hiyo unategemea kutakuwa na ufanisi? Watu wanafikiria kwibakwiba tuacha ujinga wewe mbona wizara ya TAMISEMI ndo inayoongoza kwa uozo na ipo ofisini kwako.
nimekuwa nikipata tabu kuelewa kila ninaposikia "tatizo ni mfumo".naomba unisaidie mfumo unasababisheje mtu kama pinda asitekeleze majukumu yake vema.wakati wa sokoine mfumo ulikuwaje hadi akaweza kuwajibika ipasavyo.
acha ujinga wewe mbona wizara ya TAMISEMI ndo inayoongoza kwa uozo na ipo ofisini kwako.
Kwani kukiri kuwa kazi ni ngumu ina maana nimkushindwa kazi? Mbona Mbowe amewahi kusema kuwa uenyekiti ni kazi ngumu, ina maana na yeye kazi imemshinda! Kama ndo hivyo, mbona anapambana na Zitto anayetaka nafasi hiyo?
Tafadhali edit panaposomeka "maradhi"pasomeke "malazi" panaposomeka "ufahali" pasomeke "ufahari"
bila ku-edit hata wanaochangia watakuwa hawajui kuelewa.
nimekuwa nikipata tabu kuelewa kila ninaposikia "tatizo ni mfumo".naomba unisaidie mfumo unasababisheje mtu kama pinda asitekeleze majukumu yake vema.wakati wa sokoine mfumo ulikuwaje hadi akaweza kuwajibika ipasavyo.
Hujui kuwa TAMISEMI inabeba wizara za kisekta zote? Ndo inasimamia halmashauri zote ambazo zimejaa wakurugenzi waliowekwa na mafisadi akina Lowasa? Kwa hali hiyo unategemea kutakuwa na ufanisi? Watu wanafikiria kwibakwiba tu
Hujui kuwa TAMISEMI inabeba wizara za kisekta zote? Ndo inasimamia halmashauri zote ambazo zimejaa wakurugenzi waliowekwa na mafisadi akina Lowasa? Kwa hali hiyo unategemea kutakuwa na ufanisi? Watu wanafikiria kwibakwiba tu
Soma kati ya mistari....Pinda hajakiri kushindwa kazi.. Bali amekiri kuwa kazi ni ngumu na kama utamwelewa, maneno yake yanaashiria mfumo uliopo ndio haumpi nguvu ya kurekebisha mambo moja kwa moja. Yeye hakuteua hao Mawaziri mnaowaita leo mizigo na wala hawezi kuwaondoa kwa maamuzi yake. Ubovu wa mfumo butu wa CCM ndio kiini cha yote haya....kazi kwenu!Kwani kukiri kuwa kazi ni ngumu ina maana nimkushindwa kazi? Mbona Mbowe amewahi kusema kuwa uenyekiti ni kazi ngumu, ina maana na yeye kazi imemshinda! Kama ndo hivyo, mbona anapambana na Zitto anayetaka nafasi hiyo?