PINDA aingia rasmi mbio za urais CCM?

PINDA aingia rasmi mbio za urais CCM?

TanganyikaTANU huwa naheshimu sana michango yako ya hapa jukwaani lakini top secret ni kwamba si Pinda wala Lowasa atayekuwa rais. Rais ni Magufuli na ndiye chaguo la Rais.
 
Last edited by a moderator:
Haki yake kikatiba chaa ajabu nini? Hakuna mkamlifu

"Nchi ngumu hii"
 
...udhaifu wa huyu m.k.w.e.r.e ndo amesababisha kila mtu ajione anaweza kuwa raisi,si ajabu kesho tukasikia Lusinde na Selukamba nao wanautaka uraisi...
Hata wewe ukitaka sawa tuu ni haki kikatiba


"Nchi ngumu hii"
 
Chizi Fureshi nadhani hujanielewa kabisa. Mimi nimeandika na kuripoti kile ambacho ninakiona na kinasemwa pasipo kuweka maoni yangu binafsi.
Mwisho nimeuliza swali ili kupata kujua zaidi, kwani mimi ni 'mwanaCCM' na nitahitajika kumpigia kampeni mgombea wa CCM 2015 hivyo ni bora nikahoji sasa.

Fuateni basi taratibu zenu huko chamani halafu jooni hapa JF tuongeze "nyama".
 
Pinda atabaki kuwa waziri mkuu wa kwanza tz mwenye upeo na akili nyingi kuweza kujibu maswali ya papo kwa hapo hii hata ulaya haipo.kwa heshima ataachana na siasa na kuendeleza shughuli za kilimo kwanza.
 
Na hizo ARV itakuwaje sasa maana miaka 10 ni mingi sana kuishi magogoni kwa kutegemea booster...

Akiingia Ikulu atasema Wauliwe kabisa na sio Wapigwe ya sasa

Ukolokwitanga asante kwa comments lkn sijakuelewa una maana gani ARV? Hilo ni gari toka japan? au una maana nyingine ambayo labda kwangu ni ngeni. nitashukuru kwa maelezo kama itawezakana
 
Hata mwigulu nchemba naye anaweka sawa mambo ya umri na support ya mwenyekiti wake ili aweze kuingia kwenye kinyang'anyiro.

Kila mtu ndani ya ccm macho na masikio yako magogoni...
 
TanganyikaTANU huwa naheshimu sana michango yako ya hapa jukwaani lakini top secret ni kwamba si Pinda wala Lowasa atayekuwa rais. Rais ni Magufuli na ndiye chaguo la Rais.

Mzee wa Rula asante sana kwa comments zako lakini kuna mambo unaweza kufafanua ama kujifunza.

Kwa mfano,Inawezekana kabisa Magufuri akawa mmoja wa machaguo ya Kikwete, lakini ni vipi Magufuri atapitishwa na CCM akawa mgombea urais wakati hana nguvu ndani ya CCM ya sasa?
Hivi unajua hata Nyerere Chaguo lake la kwanza lilikuwa Dr.Salim Ahamed Salim na sio Ally Hassan Mwinyi lakini bado Nyerere alishindwa kumpitisha Salim!!

Hata Mkapa mwaka 2005 chaguo lake la kwanza lilikuwa Dr.Abdallah Kigoda na chaguo la pili lilikuwa Sumaye, lakini bado hakufanikiwa.
Sijui kama unakumbuka kisa cha Dr.Salimin Amour 2000 kutaka waziri kiongozi wake Dr.Bilal kuwa mrithi wake Zanzibar na bado lilishindikana.

Kitu ninachokijua ni kuwa siku zote rais anayeondoka madarakani anakuwa na chaguo lake 'rasmi' (Mara nyingi chaguo zaidi ya moja) hivyo hata Kikwete ana chaguo zaidi ya moja, Membe akiwa ni mmoja wao.

Kwani mpaka sasa tena katika hali mbaya ya kisiasa ndani ya CCM kuna haja au uwezekano wa suala la mgombea wa CCM 2015 kubaki kama 'Top Secret' kwa rais Kikwete na watu wake wachache?

Kwa vyovyote ilivyo kwa CCM mgombea wa urais 2015 ni lazima atakuwa amejiandaa vya kutosha kufanikishwa hilo na sio kwa kubebwa tu na kwa sasa Lowassa yuko mbele sana na njia pekee labda ya kumshinda Lowassa ni makundi makuu yote kuungana dhidi yake na kutumia mfumo wa sasa wa serikali kufanikisha hilo na hapo ndipo Pinda amesimamia kwa sasa.

Keep my words, soon utakuja kuniambia.
 
Last edited by a moderator:
Waziri mkuu akigombea urais amepata kura yangu. Ili mradi tuu asibadilishe msimamo kwenye ile sera ya kukamata wahuni na kuwapiga tuu.
 
Na hizo ARV itakuwaje sasa maana miaka 10 ni mingi sana kuishi magogoni kwa kutegemea booster... Akiingia Ikulu atasema Wauliwe kabisa na sio Wapigwe ya sasa
Mbona fastjet ndiyo hivyo hivyo? Wengi wanaishi kwa matumaini, si unakumbuka enzi za babu wa loliondo, baraza zima la mawazi liligonga kikombe.
 
japokuwa ni wazi kuwa mgombea urais wa ccm 2015 huenda akawa ni edward lowassa kutokana na nguvu za kisiasa alizonazo ndani ya ccm kwa sasa, kitisho kipya kimeingia kwa kasi dhidi ya kambi hiyo baada ya mikakati ya mizengo pinda kutaka kugombea urais 2015 kuanza kuwekwa hadharani na baadhi ya watu hususani mawaziri wa serikali ya kikwete.

Jambo hili limekuja baada ya pinda kuwa na ziara za mara kwa mara za kichama mikoa mbalimbali na kufanya vikao vya ndani vya ccm na kiserikali visivyo na agenda za wazi na huku pia akiendesha harambee kadhaa kwenye taasisi mbalimbali za kijamii na kikanisa kama vile ambavyo wanasiasa wengine wa ccm wanaowania urais wamekuwa wakifanya kila mara.

Na taarifa za karibuni kabisa zinasema kambi ya pinda inayoongozwa na mawaziri kadhaa imepanga kuzivuta kambi ya membe na sitta ili kuungana na pinda ili kupambana na lowassa.

Mkakati huu unapangwa chini ya agenda ya kuhakikisha rais ajaye ni lazima atoke kwenye baraza la mawaziri la sasa kwa lengo la kulinda mfumo na maslahi ya kikwete mara atakapo achia madaraka ya urais.
Huu ni utamaduni umekuwepo kuanzia kwa nyerere, mwinyi na mkapa, na unasisitizwa kuendelezwa pia kwa kikwete.

Kuna tetesi pia, hata kelele za kutaka pinda ashtakiwe mahakamani kwa kauli yake ya ''watapigwa tu, tena nasema wapigwe'' huenda pia zikazidi kuchochewa chini kwa chini na wafuasi wa kambi ya lowassa ili kuvunja nguvu za kisiasa za pinda kuelekea 2015.
Mpaka sasa limeanza kupelekea na litazidi kupelekea 'wateule' wa pinda wazidi kujitokeza hadharani kuanza kumtetea kwa hali na mali ili asishtakiwe mahakamani.

Swali, pinda ameingia rasmi kwenye kinyang'anyiro cha urais ccm 2015?

kwa kuwa tupo kwenye msimu wa kupiga,mimi nashauri wanaompinga pinda kugombea urais wapigwe tu,maana tumechoka.
 
Hana sifa za kuwa Rais maana akiwa rais Watz wengi watapigwa na kuuawa na vyombo vya dola!
Japokuwa ni wazi kuwa mgombea urais wa CCM 2015 huenda akawa ni Edward Lowassa kutokana na nguvu za kisiasa alizonazo ndani ya CCM kwa sasa, kitisho kipya kimeingia kwa kasi dhidi ya kambi hiyo baada ya mikakati ya Mizengo Pinda kutaka kugombea urais 2015 kuanza kuwekwa hadharani na baadhi ya watu hususani mawaziri wa serikali ya Kikwete.

Jambo hili limekuja baada ya Pinda kuwa na ziara za mara kwa mara za kichama mikoa mbalimbali na kufanya vikao vya ndani vya CCM na kiserikali visivyo na Agenda za wazi na huku pia akiendesha harambee kadhaa kwenye taasisi mbalimbali za kijamii na kikanisa kama vile ambavyo wanasiasa wengine wa CCM wanaowania urais wamekuwa wakifanya kila mara.

Na taarifa za karibuni kabisa zinasema kambi ya Pinda inayoongozwa na mawaziri kadhaa imepanga kuzivuta kambi ya Membe na Sitta ili kuungana na Pinda ili kupambana na Lowassa.

Mkakati huu unapangwa chini ya agenda ya kuhakikisha rais ajaye ni lazima atoke kwenye baraza la mawaziri la sasa kwa lengo la kulinda mfumo na maslahi ya Kikwete mara atakapo achia madaraka ya urais.
Huu ni utamaduni umekuwepo kuanzia kwa Nyerere, Mwinyi na Mkapa, na unasisitizwa kuendelezwa pia kwa Kikwete.

Kuna tetesi pia, hata kelele za kutaka Pinda ashtakiwe mahakamani kwa kauli yake ya ''Watapigwa tu, tena nasema wapigwe'' huenda pia zikazidi kuchochewa chini kwa chini na wafuasi wa kambi ya Lowassa ili kuvunja nguvu za kisiasa za Pinda kuelekea 2015.
Mpaka sasa limeanza kupelekea na litazidi kupelekea 'Wateule' wa Pinda wazidi kujitokeza hadharani kuanza kumtetea kwa hali na mali ili asishtakiwe mahakamani.

Swali, Pinda ameingia rasmi kwenye kinyang'anyiro cha urais CCM 2015?
 
Japokuwa ni wazi kuwa mgombea urais wa CCM 2015 huenda akawa ni Edward Lowassa kutokana na nguvu za kisiasa alizonazo ndani ya CCM kwa sasa, kitisho kipya kimeingia kwa kasi dhidi ya kambi hiyo baada ya mikakati ya Mizengo Pinda kutaka kugombea urais 2015 kuanza kuwekwa hadharani na baadhi ya watu hususani mawaziri wa serikali ya Kikwete.

Jambo hili limekuja baada ya Pinda kuwa na ziara za mara kwa mara za kichama mikoa mbalimbali na kufanya vikao vya ndani vya CCM na kiserikali visivyo na Agenda za wazi na huku pia akiendesha harambee kadhaa kwenye taasisi mbalimbali za kijamii na kikanisa kama vile ambavyo wanasiasa wengine wa CCM wanaowania urais wamekuwa wakifanya kila mara.

Na taarifa za karibuni kabisa zinasema kambi ya Pinda inayoongozwa na mawaziri kadhaa imepanga kuzivuta kambi ya Membe na Sitta ili kuungana na Pinda ili kupambana na Lowassa.

Mkakati huu unapangwa chini ya agenda ya kuhakikisha rais ajaye ni lazima atoke kwenye baraza la mawaziri la sasa kwa lengo la kulinda mfumo na maslahi ya Kikwete mara atakapo achia madaraka ya urais.
Huu ni utamaduni umekuwepo kuanzia kwa Nyerere, Mwinyi na Mkapa, na unasisitizwa kuendelezwa pia kwa Kikwete.

Kuna tetesi pia, hata kelele za kutaka Pinda ashtakiwe mahakamani kwa kauli yake ya ''Watapigwa tu, tena nasema wapigwe'' huenda pia zikazidi kuchochewa chini kwa chini na wafuasi wa kambi ya Lowassa ili kuvunja nguvu za kisiasa za Pinda kuelekea 2015.
Mpaka sasa limeanza kupelekea na litazidi kupelekea 'Wateule' wa Pinda wazidi kujitokeza hadharani kuanza kumtetea kwa hali na mali ili asishtakiwe mahakamani.

Swali, Pinda ameingia rasmi kwenye kinyang'anyiro cha urais CCM 2015?
Mkuu hii ni akili yako yote au ipo nyingine bado haijatumika?,kama umetumia akili yote basi hufai hata kuendesha kikao cha send off kichwa chako hakina kitu ni mweupe kabisa.
 
Kikwete ndiye Rais wa mwisho kabisa wa nchi hii kutokea ccm , wala msijihangaishe nao .
 
...udhaifu wa huyu m.k.w.e.r.e ndo amesababisha kila mtu ajione anaweza kuwa raisi,si ajabu kesho tukasikia Lusinde na Selukamba nao wanautaka uraisi...
hao cha mtoto utasikia mchuano mkali ni MWIGULU na LUSINDE ndiyo watanzania tutatukanwa kama vile tunasimangwa na chama kwishney chezea sifa za CCM
 
Hizi kweli tetesi,pinda si nasikia kaapa akimaliza muda wake. hataki cheo chochote hata udiwani

Sent from my BlackBerry 9300 using JamiiForums
ina maana wewe hujamjua Tanu hadi leo?jamaa kwa kutunga ni balaa.
 
Japokuwa ni wazi kuwa mgombea urais wa CCM 2015 huenda akawa ni Edward Lowassa kutokana na nguvu za kisiasa alizonazo ndani ya CCM kwa sasa, kitisho kipya kimeingia kwa kasi dhidi ya kambi hiyo baada ya mikakati ya Mizengo Pinda kutaka kugombea urais 2015 kuanza kuwekwa hadharani na baadhi ya watu hususani mawaziri wa serikali ya Kikwete.

Jambo hili limekuja baada ya Pinda kuwa na ziara za mara kwa mara za kichama mikoa mbalimbali na kufanya vikao vya ndani vya CCM na kiserikali visivyo na Agenda za wazi na huku pia akiendesha harambee kadhaa kwenye taasisi mbalimbali za kijamii na kikanisa kama vile ambavyo wanasiasa wengine wa CCM wanaowania urais wamekuwa wakifanya kila mara.

Na taarifa za karibuni kabisa zinasema kambi ya Pinda inayoongozwa na mawaziri kadhaa imepanga kuzivuta kambi ya Membe na Sitta ili kuungana na Pinda ili kupambana na Lowassa.

Mkakati huu unapangwa chini ya agenda ya kuhakikisha rais ajaye ni lazima atoke kwenye baraza la mawaziri la sasa kwa lengo la kulinda mfumo na maslahi ya Kikwete mara atakapo achia madaraka ya urais.
Huu ni utamaduni umekuwepo kuanzia kwa Nyerere, Mwinyi na Mkapa, na unasisitizwa kuendelezwa pia kwa Kikwete.

Kuna tetesi pia, hata kelele za kutaka Pinda ashtakiwe mahakamani kwa kauli yake ya ''Watapigwa tu, tena nasema wapigwe'' huenda pia zikazidi kuchochewa chini kwa chini na wafuasi wa kambi ya Lowassa ili kuvunja nguvu za kisiasa za Pinda kuelekea 2015.
Mpaka sasa limeanza kupelekea na litazidi kupelekea 'Wateule' wa Pinda wazidi kujitokeza hadharani kuanza kumtetea kwa hali na mali ili asishtakiwe mahakamani.

Swali, Pinda ameingia rasmi kwenye kinyang'anyiro cha urais CCM 2015?

Hawezi kupita hata akipita kuwa rais nguvu ya umma itamg'oa kwani ni muuaji
 
Back
Top Bottom