Pinda aingia mitini kukwepa BVR!

Pinda aingia mitini kukwepa BVR!

mpk

JF-Expert Member
Joined
Sep 26, 2012
Posts
3,115
Reaction score
3,864
Katika kuthibitisha ubabaishaji wa serikali hii, leo hii waziri mkuu Pinda ameingia mitini kukwepa maswali ya papo kwa papo kama ilivyo ada siku za Alhamisi. Pinda na serikali yake wamekuwa wakilitolea majibu ya kisiasa kwa upande mmoja huku tume ikitoa majibu tofauti.

Hivi karibuni akihojiwa na kituo cha EATV mwenyekiti wa tume Jaji Lubuva alisema watanzania wasome sheria wajue nani anayepaswa kutangaza tarehe ya kura ya maoni na waache kusikiliza kila mtu. Siku za karibuni Kikwete, Pinda na Dr Migiro wanenukuliwa wakisema kura ya maoni iko pale pale April 30.
 
Katika kuthibitisha ubabaishaji wa serikali hii, leo hii waziri mkuu Pinda ameingia mitini kukwepa maswali ya papo kwa papo kama ilivyo ada siku za Alhamisi. Pinda na serikali yake wamekuwa wakilitolea majibu ya kisiasa kwa upande mmoja huku tume ikitoa majibu tofauti.

Hivi karibuni akihojiwa na kituo cha EATV mwenyekiti wa tume Jaji Lubuva alisema watanzania wasome sheria wajue nani anayepaswa kutangaza tarehe ya kura ya maoni na waache kusikiliza kila mtu. Siku za karibuni Kikwete, Pinda na Dr Migiro wanenukuliwa wakisema kura ya maoni iko pale pale April 30.

Hao wote akina Kikwete, Pinda, Migiro wanaosisitiza kwamba kura ya maoni itafanyika April 30, Mimi nafikiri VVU/UKIMWI imepanda katika UBONGO wao, vinginevyo wasingethubutu kusema damn lies tena mchana kweupe!
 
Mkuu kumbe na wewe umegunduwa jambo hilo, hii serikali imechoka mpaka akili they can't think anymore wameshindwa hata kutoa ajira za walimu, pinda kweli unahitaji urais na uwezo wako mdogo huu tunaousuhudia kadri siku zinavyoenda?
 
Uwezo wa Pinda kuongoza ni mdogo sana, yule ni Kimbora wa Kikwete, uwezo wake wa kufikiri na kutenda ni mdogo sana. Nadhani Pinda ana mtindio wa kisiasa. Ni kama Zoba vile. Anachefua sana.
 
Nchi hii tunajiweza kupia madili tu....kwenye hizo BVR deal zimepigwa ndo maana mambo yako tivigivyogo.....i mean hinged pingled
 
Hili lilisubiri leo ili kujulikana. . . . . . .??!!!

Ndg siku hizi sikuelewi kabisa, waziri mkuu uulizwa maswali ya kisera na mara nyingi yale yanayogusa agenda za kitaifa wakati huo. Sasa leo agenda ya kitaifa ni nini? Ni Lowssa kununua watu wa kumshawishi agombee urais?Au msaliti kuhamia chama alichoanzisha akiwa ndani ya chama?
 
yan kweli viongoz wetu ni shiiiiida, hiv hata kama document zao zinawadanganya juu ya ufanic wa mashine zao za BVR, hawawez hata kusoma picha na kuona uhalisia wa zoez hilo kwa kuoanisha tarehe ya kupga kura namaendeleo ya uandikishaji, what a shame.....
 
Pinda ndue raus ajae tuna muamun kwa maamuz yake

God Forbid ...


Leo nimemsoma ripoti ya UTAFITI ya REPOA ...inasema asilimia Zaidi ya 67 % walioojiwa walisema umasikini umeongezeka katika Siku Za karibuni Sana ,Hii ni toka asilimia 42% ...

Asilimia 50 % ya Watanzania wamesema hawaridhiki na utendaji kazi serikalini

Watanzania 7 Kati ya 10 walioojiwa wamekosoa utoaji wa huduma Za Jamii

Asilimia 71 ya Watanzania ...,wamesema RUSHWA imeongeza ..

Asilimia 74 % ya Watanzania hawajui Serikali inafanyia nini Kodi Zao
 
Sasa mlitaka Pinda alielie hovyo pale mjengoni?Kasepa na yeye ameanzisha utaratibu wakupokea makundi mbalimbali wakimtaka achukue form.
Sasa hivi kiongozi unayetegemea kitu hutakiwi kupiga Porojo za uongo zinakuharibia.
 
Ofisi yake ya TAMISEMI imeshindwa nakutangaza ajira zetu walimu au nazo amekimbia
 
God Forbid ...


Leo nimemsoma ripoti ya UTAFITI ya REPOA ...inasema asilimia Zaidi ya 67 % walioojiwa walisema umasikini umeongezeka katika Siku Za karibuni Sana ,Hii ni toka asilimia 42% ...

Asilimia 50 % ya Watanzania wamesema hawaridhiki na utendaji kazi serikalini

Watanzania 7 Kati ya 10 walioojiwa wamekosoa utoaji wa huduma Za Jamii

Asilimia 71 ya Watanzania ...,wamesema RUSHWA imeongeza ..

Asilimia 74 % ya Watanzania hawajui Serikali inafanyia nini Kodi Zao

Naweza ipata hii report ndugu, kujifunza na kupata information ni muhimu kila siku bandugu, au hata link kama ipo online
 
Pinda anazeeka vibaya sana

Hivi umuoni anayezeeka vibaya anahadaa watanzania kwa kuita watu kwake dodoma akiwagharamia mwenyewe usafiri,malazi,chakula,vinywaji na kuwapa posho huku mafichoni akiwapa hela wajifanye kama wanamchangia hela ya kuchukulia form anajitekenya na kucheka mwenyewe.
 
Sasa mlitaka Pinda alielie hovyo pale mjengoni?Kasepa na yeye ameanzisha utaratibu wakupokea makundi mbalimbali wakimtaka achukue form.
Sasa hivi kiongozi unayetegemea kitu hutakiwi kupiga Porojo za uongo zinakuharibia.

Acha kuongea upuuzi, unaweza thibitisha unachokisema
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom