Valencia_UPV
JF-Expert Member
- Mar 31, 2016
- 6,223
- 7,408
Kuna Pilipili tamu? Au ulidhani peremendeAtaeipenda akabanga achunguzwe akili ake,pilipili gani ukiweka inafunika ladha nzima ya chakula na kumuachia mlaji mateso mdomoni,inauwezo wa kufunika ladha ya pilau,biliani,mtori,kongoro,mchunga wenyewe husikii ladha yake ukiweka akabanga