Pilipili ni mkombozi wetu wanaume

Pilipili ni mkombozi wetu wanaume

------- hamna kitu hapo mm hiyo dawa niliitumia hakuna kitu zaidi ya maumivu makali wakati wa kulala labda km unaenda kumkomesha MTU ndio upake hicho kichwa
 
Aaaaaaaaaaaaah! Mbavu zangu mimi, umenikumbusha kwenye picha ya Apocalypto, jamaa alishauriwa aweke pilipili kwenye dushelele yake, kilichotokea majanga matupu. Kwa walioona watakubali.
 
Mimi najua asali ni dawa kwa wale ambao dushelele zao hazina nguvu ya kusimama, unapaka asali kwenye dushelele, na baada ya siku mbili tatu utaona matokeo.
 
Nadhani hapa mkuu uwashauri watumiaji wafanye kwanza majaribio kabla ya dozi kama vile dozi ya fansida.
maana shughuli ya pilipili kwenye dushe ni noma.
Ni vema watu kabla hawajaweka dozi kamili washike pilipili kidogo afu waguse hapo uliposema wakijisikia poa waendelee na zoezi,wakijisikia tofauti watuletee ushuhuda humu jf.
 
naamini katika maumbile ya asili... anything artifial has expiring date.

siku nguvu ya limao na pilipili ikiisha, ub.oo wako utatetepa kama ulimi wa mbwa aliyekimbia mbio za nyika!!
 
Kumbe wengi mna Mbo.o ngogo, poleni sana sisi tuliojaariwa ni fimbo kwenda mbele, hatuhitaji Limao wala kitunguu Swaumu.
 
Kumbe wengi mna Mbo.o ndogo, poleni sana sisi tuliojaariwa ni fimbo kwenda mbele, hatuhitaji Limao wala kitunguu Swaumu.
 
hahaha.. mkuu, naona unataka watu waamke asubuhi, maungo yao yamegeuka rosti??
 
Hizo bange unazovuta ni stim ya kulenduka , kama sio fani yako usije ukaumbuka....
 
Jf is never boring
Sos: the boss

Kwa hili nasema jf is dangerous! Ivi pilipili na Lima na chumvi upake uko kwa nanihii????? Au unataka waumiza wenzio? Hatari hii jamani
 
Sitak kuendelea kusoma hii thread illi nisiende kujaribu hehe chezea pilipili weye
 
Back
Top Bottom