kwenda21
JF-Expert Member
- Mar 11, 2014
- 3,422
- 3,392
Jamani mimi ninapikipiki ila imeanza tatizo ambalo silielewi asubuhi nikiiwasha haiwaki tena ukilazimisha hadi betri linakuwa kama limeisha nguvu, ila ukiiicha kwa mda wa dk kama 25 ukiwasha inakubali, na Pikipiki hii haina kiki, unawasha kama Range Rover (gari).