BARDIZBAH
JF-Expert Member
- Jan 11, 2017
- 5,928
- 11,740
Mamaaaae watu wakatili humuyani hilo fupa ndo laki 7?!!
Mamaaaae watu wakatili humuyani hilo fupa ndo laki 7?!!
😂😂Mamaaaae watu wakatili humu
Sawa acha nitafute mteja aisee, bila shaka bei inaongeleka.Mkuu hii nimenyang’anya dogo niliyempa aniletee hesabu ameichakaza hivyo nimeamua niiuze, ikishindikana itakaa tu hapo home.
Goma la kishandu hilo nunua baada ya muda utakutana na vijana wa muriloMamaaaae watu wakatili humu
Changamkia fursa mkuu.Sawa acha nitafute mteja aisee, bila shaka bei inaongeleka.
Vishandu hawaendeshi mikweche mkuu, pikipiki zao daily zipo service,,Goma la kishandu hilo nunua baada ya muda utakutana na vijana wa murilo
Documents zote zipoGoma la kishandu hilo nunua baada ya muda utakutana na vijana wa murilo
Ili atuibie vizuri?Bora mngenipa tenda ya kuitangaza, ubovu wa picha zako unafanya ionekane ya kichovu.
Inaonekana haijaoshwa.
Mzee ipige maji vizuri, ipake wese, tumia simu yenye camera kali, iweke nje sehemu tulivu kivulini. Fyatua picha kali kali , udhaifu mdogo mdogo kama huo hapo wa tenki kubonyea ufiche kiaina.
Halafu post sasa uone simu zikiita mpaka simu ipate wehu.
Sema mkuu laki 7 kwa hilo kongolo parefu, ungeweka na option ya mazungumzoDocuments zote zipo
Kuna mdau nimemwambia hapo juu 600k bei ya mwisho, ikishindikana itakaa tu pale home madogo waichezee.Sema mkuu laki 7 kwa hilo kongolo parefu, ungeweka na option ya mazungumzo
Ndio biashara hizoIli atuibie vizuri?
Mkuu badala ya kuiuza kwa nini usifanye hivyo kama ulivyohainisha ili upate faida mara dufu?Kwa msiojua hii pikipiki inahitaji mabotesho kama ifuatavyo:
Dashboard 35k
Tyre la nyuma mgongo mpana 43k
Tyre la mbele mgongo mpana 33k
matengenezo mengine madogo madogo hayazidi 50k. Kwa laki na sitini tu unamaliza kila kitu.
Mpe mtu mkataba wa miezi saba kwa siku akuletee 10k. Baada ya miezi saba inakuwa ya kwake.
mkuu nimesha fanya hivyo ila bahati mbaya nimepata kijana asiye muadilifu. Hicho chombo nimeng’anya hivi karibuni, pesa hakuna service hakuna. Kwa hicho chombo nimekula hasara tu.Mkuu badala ya kuiuza kwa nini usifanye hivyo kama ulivyohainisha ili upate faida mara dufu?
Wee unaweza leta iyo 10k kwa siku au unaropoka tu?Kwa msiojua hii pikipiki inahitaji mabotesho kama ifuatavyo:
Dashboard 35k
Tyre la nyuma mgongo mpana 43k
Tyre la mbele mgongo mpana 33k
matengenezo mengine madogo madogo hayazidi 50k. Kwa laki na sitini tu unamaliza kila kitu.
Mpe mtu mkataba wa miezi saba kwa siku akuletee 10k. Baada ya miezi saba inakuwa ya kwake.
Ushaiuza ?Ongeza ifike 600k kesho uje uibebe.
IpoUshaiuza ?