Expensive life
JF-Expert Member
- May 2, 2020
- 3,712
- 11,611
Wakuu kwa anayehitaji usafiri boda inauzwa, laki saba inahija matengenezo kidogo document zote zipo. Karibuni ipo temeke, buza.
Dashboard ya nini? Wewe hujui gia unahesabu vipi?Ata dashboard hamna mkuu alafu unasema matengezo madogo madogo
Mkuu unaficha udhaifu wa nini? Kwa anayehitaji it’s okay, asiyehitaji fresh tu ipo tu pale home imepaki, sina haraka nayo.Bora mngenipa tenda ya kuitangaza, ubovu wa picha zako unafanya ionekane ya kichovu.
Inaonekana haijaoshwa.
Mzee ipige maji vizuri, ipake wese, tumia simu yenye camera kali, iweke nje sehemu tulivu kivulini. Fyatua picha kali kali , udhaifu mdogo mdogo kama huo hapo wa tenki kubonyea ufiche kiaina.
Halafu post sasa uone simu zikiita mpaka simu ipate wehu.
Huna hata hela ya kuitengeneza ndo uiuze? Sidhani kama toka upewe uliwahi hata kumwaga oil.Wakuu kwa anayehitaji usafiri boda inauzwa, laki saba inahija matengenezo kidogo document zote zipo. Karibuni ipo temeke, buza.
View attachment 3358281
View attachment 3358282
Hajakulazimisha mtu, kama haujaipenda pita hivi.Ata dashboard hamna mkuu alafu unasema matengezo madogo madogo
Kwa kuwa wewe umezoea kupewa vya bure ndio unazani kila mtu yupo hivyo. Heshimu watu jombaa.Huna hata hela ya kuitengeneza ndo uiuze? Sidhani kama toka upewe uliwahi hata kumwaga oil.
Ili iuzike kwa bei nzuri au hutaki faida mjomba??Mkuu unaficha udhaifu wa nini? Kwa anayehitaji it’s okay, asiyehitaji fresh tu ipo tu pale home imepaki, sina haraka nayo.
2 million au?Chukua 2 mkuu.
Mkuu hii nimenyang’anya dogo niliyempa aniletee hesabu ameichakaza hivyo nimeamua niiuze, ikishindikana itakaa tu hapo home.Ili iuzike kwa bei nzuri au hutaki faida mjomba??
Ongeza ifike 600k kesho uje uibebe.Chukua laki 5 ninayo mfuko wa shati
Kwenye dashboard Kuna taarifa nyingi sio gia tu..Kuna speed,taa ya mafuta,simu kama inaita,taarifa ya kilometers ulizotembeaDashboard ya nini? Wewe hujui gia unahesabu vipi?
We simu yako Haina mlio mpaka kazi ya simu ifanywe na pipiki?Kwenye dashboard Kuna taarifa nyingi sio gia tu..Kuna speed,taa ya mafuta,simu kama inaita,taarifa ya kilometers ulizotembea
Mwisho wangu 500K mkuuOngeza ifike 600k kesho uje uibebe.
Sasa utaipendaje pikipiki we kenge NiniHajakulazimisha mtu, kama haujaipenda pita hivi.
Ndio maana nimesema inahitaji matengenezo. Hiyo dashboard inauzwa 35k.Kwenye dashboard Kuna taarifa nyingi sio gia tu..Kuna speed,taa ya mafuta,simu kama inaita,taarifa ya kilometers ulizotembea
Mkuu umekula leo?Sasa utaipendaje pikipiki we kenge Nini