Pikipiki 125 cc inakula mafuta kiasi gani....msaada pliz!!

Pikipiki 125 cc inakula mafuta kiasi gani....msaada pliz!!

sijui nini

JF-Expert Member
Joined
Sep 29, 2010
Posts
2,553
Reaction score
1,292
kwa anaefahamu, aina ni B2 INDIA, COMMUTER, ingine yake ni 125cc...

c1.jpg
 
Piki aina ya bajaj ya India ya 125cc inaenda up to 80km/litre. Kama hiyo yako ni ya kutoka India maybe na yenyewe ina uwezo huo. Kama vipi google website yao.
 
Soma user manual ya hiyo pikipiki utayafahamu mengi zaidi.lakini kama niya india hutumia 50-60km/litre.
 
Soma user manual ya hiyo pikipiki utayafahamu mengi zaidi.lakini kama niya india hutumia 50-60km/litre.
TEGEMEA kwenye user manual hawajaandika kuhusu oil consumption na ni kweli ni ya india, ni mpya na original (not chinese) na manual yake inayo na ni kama inavyoonekana kwenye picha hapo hivyo hivyo!!
 
Last edited by a moderator:
Haya mkuu ukikatwa mguu shauri yako
usiwasahau na wapitanjia wanaogongwa na magari kila siku na kuishia kuwa walemavu wa maisha....u be carefull u avoid accidents, u jifanya mjanja u die bila kujali unaendesha bajaji, gari, pikipiki, baskeli au miguu mkuu!!!
 
Back
Top Bottom