Pigo moja la moyo hutengeneza mbegu za kiume 1,800

Pigo moja la moyo hutengeneza mbegu za kiume 1,800

round kick

JF-Expert Member
Joined
Feb 3, 2025
Posts
933
Reaction score
3,037
download.gif


Pigo moja la moyo hujaza korodani kwa sperms 1,800 (elfu moja na mia nane), mwanaume asipokuwa na kitu cha kufanya kuna uwezekano mkubwa wa kuanza kufikiria sex maana kila pigo linajaza mbegu nyingi

Kwa wanaume ambao wapo sexually active hasa vijana (18 - 30) wasio na matatizo ya kiafya (B.p, kisukari, kukosa nguvu za kiume, n.k.) kuna decissions huzifanya kwa kuendeshwa na sex.

  • Kufunga safari ya kilometa 400 kufata sex
  • Kuwahi kufunga ofisi kwajili ya sex
  • Kupigana kwajili ya kugombania kiungo cha sex
  • Kujitoa muhanga kufanya sex bila kinga
  • n.k.
 
Alaah, kumbe watu wenye presha ya kupanda wanatengeneza mbegu nyingi kuliko watu wote

Kwa uzoefu wangu mbegu hutengenezwa vizuri pale mtu anapokula mlo kamili/hasa protein na kupata usingizi wa kutosha
 
Alaah, kumbe watu wenye presha ya kupanda wanatengeneza mbegu nyingi kuliko watu wote

Kwa uzoefu wangu mbegu hutengenezwa vizuri pale mtu anapokula mlo kamili/hasa protein na kupata usingizi wa kutosha
Ndio maana nimeandika kwa watu wasio na matatizo ya kiafya, hao wenye b.p. wanaweza kata moto kitandani
 
Sasa wale magaidi waliopo peponi kuzichakata zile bikra 72 sijui mioyo yao inadunda kwa speed gani 🙌 mana kuchakata bikra zote hizo sio mchezo na nasikia ni lazima uwapige bao tano kila mmoja mana allah amewaahidi nguvu za kiume mara dufu 🔥
 
Back
Top Bottom