Fool's paradise!
Kuwa mstaarabu. Si vema kuharibu utaratibu hapa hatuitaji majadiliano.
Fool's paradise!
Rasimu ya Warioba na Tume ya Mabadiliko ya Katiba = "A" au Rasimu ya Sitta,Chenge na Baraza Maalumu la Katiba = "B"
Piga kura yako kwa kuandika neno "A''au "B" au unaweza kuandika "Warioba au Sitta" ama unaruhusiwa kuandika "(TMK Tume ya Mabadiliko ya Katiba) au (BMK, Bunge Maalum la Katiba)", Uchaguzi ni wako.
Hii post si kwa ajili ya kuchangia.
NIKUPIGA KURA tu, Mwisho ni tarehe 15
Oktoba 2014. (NI HIARI)