Piga Kura: Mkuu wa Mkoa Bora 2018

Tabutupu

JF-Expert Member
Nov 26, 2010
13,107
18,323
Baadhi ya wakuu wa mikoa wameonekana kutekeleza vyema sera ya maendeleo na pia wameomyesha sura za kiuongozi katika maeneo yao.

Kati ya wafuatao yupi unadhani ji bora zaidi

1. Simiyu (Mtaka)
2. Tabora (Mwamri)
3. Geita (Gabriel)


Wamejitahidi sana kusimamia mambo yanayo igusa jamii. baadhi ya mambo ambayo wameyasimamia.

1. Robert Gabriel: Amesimamia fedha zinazo toka migodini (CSR) kwa kuhakikisha zinajenga zahanati kwa kila kijiji.

2. Mtaka : Ameonyesha uongozi kwanza kwa kupiga marufuku viongozi kuwekwa rumande bila sababu ya msingi.

3. Mwamri: Amesimamia vyema swala la ndoa za utotoni kwa mkoa wa tabora ndio unaongoza kwa ndoa za utotoni.


Yapo mengi lakini jambo la msingi ni uongozi wao umeonekana sio wa kukurupuka na kutaka kiki.

Piga kura yako.
 
Comment fupi fupi tafadhali zinahitajika hapa nakazi nazo..
Mkuu kumbe na wewe ni mwanachama WA Chama cha Wasoma Comment Tanzania(CHAWACOTA)...Mkuu inabidi tufanye uchaguzi sasa...
Ila Naona mzee wa kufyekelea mbali angetufaa zaidi... Pili mkuu wa mkoa wa dodoma... Yule mzee anabusara sana za kiongozi...tatu twende na jembe la baba Jesca Mtaka... Nne mama yetu wa Singida naye yumo... Hawavumi lakini wamo..
Tano twende na jembe lingine la baba Jesca mkuu wetu wa Dar..(ana makandokando yake lakini mimi ninayafyekelea mbali)-Ni mbunifu na anajituma kwenye kazi kwa kweli..mnyonge mnyongeni lakini haki yake mpeni
Ninapita tu mwanachama mwenzangu wa CHAWACOTA..
Kama na wewe ni mwanachama au unapenda kujiunga na chama gonga like
.
 
Baadhi ya wakuu wa mikoa wameonekana kutekeleza vyema sera ya maendeleo na pia wameomyesha sura za kiuongozi katika maeneo yao.

Kati ya wafuatao yupi unadhani ji bora zaidi

1. Katavi (Mtaka)
2. Tabora (Mwamri)
3. Geita (Gabriel)


Wamejitahidi sana kusimamia mambo yanayo igusa jamii. baadhi ya mambo ambayo wameyasimamia.

1. Robert Gabriel: Amesimamia fedha zinazo toka migodini (CSR) kwa kuhakikisha zinajenga zahanati kwa kila kijiji.

2. Mtaka : Ameonyesha uongozi kwanza kwa kupiga marufuku viongozi kuwekwa rumande bila sababu ya msingi.

3. Mwamri: Amesimamia vyema swala la ndoa za utotoni kwa mkoa wa tabora ndio unaongoza kwa ndoa za utotoni.


Yapo mengi lakini jambo la msingi ni uongozi wao umeonekana sio wa kukurupuka na kutaka kiki.

Piga kura yako.
No 1 mwanry
 
Back
Top Bottom