Tabutupu
JF-Expert Member
- Nov 26, 2010
- 13,107
- 18,323
Baadhi ya wakuu wa mikoa wameonekana kutekeleza vyema sera ya maendeleo na pia wameomyesha sura za kiuongozi katika maeneo yao.
Kati ya wafuatao yupi unadhani ji bora zaidi
1. Simiyu (Mtaka)
2. Tabora (Mwamri)
3. Geita (Gabriel)
Wamejitahidi sana kusimamia mambo yanayo igusa jamii. baadhi ya mambo ambayo wameyasimamia.
1. Robert Gabriel: Amesimamia fedha zinazo toka migodini (CSR) kwa kuhakikisha zinajenga zahanati kwa kila kijiji.
2. Mtaka : Ameonyesha uongozi kwanza kwa kupiga marufuku viongozi kuwekwa rumande bila sababu ya msingi.
3. Mwamri: Amesimamia vyema swala la ndoa za utotoni kwa mkoa wa tabora ndio unaongoza kwa ndoa za utotoni.
Yapo mengi lakini jambo la msingi ni uongozi wao umeonekana sio wa kukurupuka na kutaka kiki.
Piga kura yako.
Kati ya wafuatao yupi unadhani ji bora zaidi
1. Simiyu (Mtaka)
2. Tabora (Mwamri)
3. Geita (Gabriel)
Wamejitahidi sana kusimamia mambo yanayo igusa jamii. baadhi ya mambo ambayo wameyasimamia.
1. Robert Gabriel: Amesimamia fedha zinazo toka migodini (CSR) kwa kuhakikisha zinajenga zahanati kwa kila kijiji.
2. Mtaka : Ameonyesha uongozi kwanza kwa kupiga marufuku viongozi kuwekwa rumande bila sababu ya msingi.
3. Mwamri: Amesimamia vyema swala la ndoa za utotoni kwa mkoa wa tabora ndio unaongoza kwa ndoa za utotoni.
Yapo mengi lakini jambo la msingi ni uongozi wao umeonekana sio wa kukurupuka na kutaka kiki.
Piga kura yako.