Piga Kura: Mkuu wa Mkoa Bora 2018

Piga Kura: Mkuu wa Mkoa Bora 2018

Daud Albert Bashite anastahili kushinda maana yeye kwenye mkoa wake anaongoza mashoga,matapeli,vibaka,majambazi,malaya,makahaba,viongozi na watumiaji na wauzaji wa madawa ya kulevya.
Lakini hao wengine wanaongoza wakulima tu
 
Baadhi ya wakuu wa mikoa wameonekana kutekeleza vyema sera ya maendeleo na pia wameomyesha sura za kiuongozi katika maeneo yao.

Kati ya wafuatao yupi unadhani ji bora zaidi

1. Simiyu (Mtaka)
2. Tabora (Mwamri)
3. Geita (Gabriel)


Wamejitahidi sana kusimamia mambo yanayo igusa jamii. baadhi ya mambo ambayo wameyasimamia.

1. Robert Gabriel: Amesimamia fedha zinazo toka migodini (CSR) kwa kuhakikisha zinajenga zahanati kwa kila kijiji.

2. Mtaka : Ameonyesha uongozi kwanza kwa kupiga marufuku viongozi kuwekwa rumande bila sababu ya msingi.

3. Mwamri: Amesimamia vyema swala la ndoa za utotoni kwa mkoa wa tabora ndio unaongoza kwa ndoa za utotoni.


Yapo mengi lakini jambo la msingi ni uongozi wao umeonekana sio wa kukurupuka na kutaka kiki.

Piga kura yako.
Nadhani wanatekeleza majukumu yao,kura za nn?
 
Back
Top Bottom