Ndg yangu! Hayo ya Babu,Tabora na hata Mbeya ni madogo,Maandiko yanasema bado miujiza itatendeka lkn bado hayo yote ni dalili2. Na siyo mwana Adam. 2tashanga!!!!!ndiyo hivyo tayari watu wanakunywa. kila mkoa na wilaya na pengine kitongoji na hata kila mtaa utakuwa na kikombe chake. Na serikali inabariki tu.