Pichani MKURUGENZI asiye MTENDAJI wa FASTJET Lawrence Masha wakizindua safari za KILI, ENTEBE

nngu007

JF-Expert Member
Aug 2, 2010
15,862
5,798



Mkurugenzi asiye mtendaji wa Fastjet Lawrence Masha (Kushoto) akizungumza
na waandishi wa habari katika uzinduzi wa safari mpya kati ya Kilimanjaro,
Tanzania na Entebbe, Uganda. Uzinduzi huo ulifanyika katika uwanja wa
ndege wa kimataifa Entebbe wiki iliyopita. Kulia ni Meneja Mkuu wa Shirika
la Ndege Fastjet Afrika Mashariki, Jimmy Kibati.

Meneja Mkuu wa shirika la Ndege Fastjet Afrika Mashariki, Jimmy Kibati
(kushoto aliyeinama) na Mkurugenzi asiye mtendaji wa fastjet Lawrence
Masha (Kulia aliyeinama) wakikata keki kwa pamoja katika uzinduzi wa
safari mpya kati ya Kilimanjaro, Tanzania na Entebbe, Uganda. Uzinduzi huo
ulifanyika katiKa uwanja wa ndege wa kimataifa wa Entebbe wiki iliyopita.
Wengine pembeni ni Mshauri Kibiashara wa Fastjet, Ian Petrie (Kulia) na
Mkurgenzi mtendaji wa Simba Travelcare, Uganda, Declan Peppard (Kushoto).

Meneja Mkuu wa shirika la Ndege Fastjet Afrika Mashariki, Jimmy Kibati
(wapili kushoto) akipongezana na mkurugenzi asiye mtendaji wa Fastjet
Lawrence Masha (watatu kushoto) katika uzinduzi wa safari mpya kati ya
Kilimanjaro, Tanzania na Entebbe, Uganda. Uzinduzi huo ulifanyika katiKa
uwanja wa ndege wa kimataifa wa Entebbe wiki iliyopita. Wengine pembeni ni
Mshauri Kibiashara wa Fastjet, Ian Petrie (Kulia) na Mkurgenzi mtendaji wa
Simba Travelcare, Uganda, Declan Peppard (Kushoto)



Source Habari 24Blog




 
then wat the hell is his duties in the company like Fast Jet? Nielimishe plz

Labda kazi yake ni kushiriki vikao tu na kupata infos
anawakilisha shareholder fulani au yeye mwenyewe ni shareholder
hafanyi kazi za kila siku
 



[TR]
[TD="class: tr-caption, align: center"]Mkurugenzi asiye mtendaji wa Fastjet Lawrence Masha (Kushoto) akizungumza
na waandishi wa habari katika uzinduzi wa safari mpya kati ya Kilimanjaro, Tanzania na Entebbe, Uganda. Uzinduzi huo ulifanyika katika uwanja wa ndege wa kimataifa Entebbe wiki iliyopita. Kulia ni Meneja Mkuu wa Shirika la Ndege Fastjet Afrika Mashariki, Jimmy Kibati.[/TD] [/TR]



[TR]
[TD="class: tr-caption, align: center"]Meneja Mkuu wa shirika la Ndege Fastjet Afrika Mashariki, Jimmy Kibati
(kushoto aliyeinama) na Mkurugenzi asiye mtendaji wa fastjet Lawrence Masha (Kulia aliyeinama) wakikata keki kwa pamoja katika uzinduzi wa safari mpya kati ya Kilimanjaro, Tanzania na Entebbe, Uganda. Uzinduzi huo ulifanyika katiKa uwanja wa ndege wa kimataifa wa Entebbe wiki iliyopita. Wengine pembeni ni Mshauri Kibiashara wa Fastjet, Ian Petrie (Kulia) na Mkurgenzi mtendaji wa Simba Travelcare, Uganda, Declan Peppard (Kushoto).[/TD] [/TR]



[TR]
[TD="class: tr-caption, align: center"]Meneja Mkuu wa shirika la Ndege Fastjet Afrika Mashariki, Jimmy Kibati
(wapili kushoto) akipongezana na mkurugenzi asiye mtendaji wa Fastjet Lawrence Masha (watatu kushoto) katika uzinduzi wa safari mpya kati ya Kilimanjaro, Tanzania na Entebbe, Uganda. Uzinduzi huo ulifanyika katiKa uwanja wa ndege wa kimataifa wa Entebbe wiki iliyopita. Wengine pembeni ni Mshauri Kibiashara wa Fastjet, Ian Petrie (Kulia) na Mkurgenzi mtendaji wa Simba Travelcare, Uganda, Declan Peppard (Kushoto) Source Habari 24Blog [/TD] [/TR]
Mkuu naona html codes ziligoma kufungua na kufunga hapa.
 
Back
Top Bottom