ifweero
JF-Expert Member
- Jun 12, 2013
- 7,957
- 1,327
Acha ushankupe ww, changia mada.
Acha ushankupe ww, changia mada.
Wasominwaliwaonya wasifanye maamuzi yasiyosahihi hata kama ni magumu; na wasiona taaluma wakalalama kuwa asulubiwe. Plato akawasikiliza walotakasuluba na akawapuuza wasomi. Sasa ona giza limetanda nchi nzima. Taarifa zimeenea kote na hata plato anaweweseka badala ya kusimama imara. Maamuzi magumu lakini yasiyosahihi kwa mktadha wa cuama yanakigawa chama. Tuwapuuze wapiga debe tufuate ushauri wa kisomi. Tujenge chama cha upinzani mbadala kwa Ccm.Ukifanya tathimini jinsi gani CDM imeporomoka utaona ni zaidi ya 76% yaani umaarufu wake umeshuka sana!
Hadi April mwakani mgogoro huu ukiendelea basi CDM kitakuwa hoi bin taabani
Anayekuza mgogoro huu ni mabwana zenu, slaa na mbowe. Wamemfuata hadi kwao wakamtukane, hilo ni sawa kwenu? Wajinga sana nyiemkuu hoja yako ni sahihi, angalia jinsi mgogoro wa zitto na chadema, jinsi zitto anavyojitaidi kuufanya mgogoro huu ni baina ya chadema na wanakigoma, zitto kwa hili hajaonyesha uzalendo kwa chama wala taifa!
Ukifanya tathimini jinsi gani CDM imeporomoka utaona ni zaidi ya 76% yaani umaarufu wake umeshuka sana!
Hadi April mwakani mgogoro huu ukiendelea basi CDM kitakuwa hoi bin taabani
Anayekuza mgogoro huu ni mabwana zenu, slaa na mbowe. Wamemfuata hadi kwao wakamtukane, hilo ni sawa kwenu? Wajinga sana nyie
Habariyamjini mimi siitaki, watu wa aina yako hawana kazi, muda mwingi hukaa vibarazani kueneza umbeya tuuuu. Eti CHADEMA imeporomoka 76%! Wewe mtafiti? Kama data hizo si umbeya wa vibarazani ni nini?
Hata ujitetee vipi zzk unacho mwaka huu biblia inasema waheshimu wenye mamlaka hata kama wanakunyanyasa naye atakusimamia wewe kwa jeuri yako unawajibu jeuri haya mwisho wako uta usababisha mwenyewe.
Dr. slaa ashauriwe aache kuropoka na kutoa maamuzi kwenye majukwaa, asububili maamuzi yatolewe kwenye vikao.
Hata usipotaka lakini ukweli unajulikana na unaujua! Nashukuru mkuu umesoma comment yangu! Hata mkuu ifweero anaujua ukweli huo!
Chama chenu mkuu kimekosa dira hakuna wa kusililizwa kila mtu ni general! Tatizo lenu kubwa CDM hamtaki kuambiwa ukweli na ukiambiwa tu basi msaliti na mtumia tumbo!
Hiyo ndio tofauti kubwa Kati ya chama dume CCM na CDM!