Anapoteza muda wake huyo.Mtu anayeandaliwa mikutano na CCM na maripota wake Jamvini ni wanaCCM.
Mbona mnawasurubu hivi hawa ..."watani wangu"?na ndo maana waliambiwa kigoma itakuwa dubai wakaamini.
Anapoteza muda wake huyo.Mtu anayeandaliwa mikutano na CCM na maripota wake Jamvini ni wanaCCM.
Nimesoma nao wengi sana ila nadhani upstairs huwa kuna shida fulani!!!!!!
Achaa unafiki wewe hata hufahamu itifaki za kichama/kivyama ni kupe akiba ya maneno ni kwamba Zitto yuko kwa ziara yake binafsi hata haitambuliki na Baraza kuu la Chadema ndio maana huwezi kuwaona viongozi wa Chadema kama huyo Mwenyekiti wa Chadema Kasulu.Moja kwa moja ni kwamba Zitto kavunja katiba ya Chama kwani hakuna hata taarifa na kama angekuwa na akili nzuri au niseme kama angekuwa mstaarabu basi asingefanya mkutano Kasulu angeenda moja kwa moja Jimboni kwake hapo angeeleweka kwa mbalii so kabla ya kuposti chochote jaribu kuangalia mambo muhimu then ndio uposti.Kwa staili ya watu kama nyie inakuwa vigumu sana kwa Taifa kuendelea tujitahidi kusoma alama za nyakati kuliko ushabiki ambao hautusaidia katika maisha yetuNguvu ya Zitto ni zaidi ya tufani au kimbunga,mapokezi ndani ya kasulu hayajawahi tokea,mwenyekiti wa chadema mzee bujoro kajificha,maana anaelemea upande mbowe ili amsaliti Zitto na kufanya fitna ili zitto aonekane hakubaliki kwao,lkn sasa mwisho wa ubaya imekuwa aibu,mkutano wa Zitto umeandaliwa na wafanya biashara wa kasulu mjini, coordinator mkubwa na aliehusika kuhamasisha ni kijana masoud ambae ni mwenyekiti wa Bavicha kasulu,masoud kaamua kufa na Zitto huku Bujoro akifa na Slaa na Mbowe,sasa masoud anaungwa mkono na watu karibu wote wa kasulu huku bujoro akiishia matusi na kutengwa na jamii ya kasulu,Zitto ni mandela wa kigoma na ndio timaini pekee la wanakigoma waliotengwa na kutelekezwa kwa miaka mingi na serikali ya ccm
Mzee wa kutembea na sumu na hapo unasemaje?
Nguvu ya Zitto ni zaidi ya tufani au kimbunga,mapokezi ndani ya kasulu hayajawahi tokea,mwenyekiti wa chadema mzee bujoro kajificha,maana anaelemea upande mbowe ili amsaliti Zitto na kufanya fitna ili zitto aonekane hakubaliki kwao,lkn sasa mwisho wa ubaya imekuwa aibu,mkutano wa Zitto umeandaliwa na wafanya biashara wa kasulu mjini, coordinator mkubwa na aliehusika kuhamasisha ni kijana masoud ambae ni mwenyekiti wa Bavicha kasulu,masoud kaamua kufa na Zitto huku Bujoro akifa na Slaa na Mbowe,sasa masoud anaungwa mkono na watu karibu wote wa kasulu huku bujoro akiishia matusi na kutengwa na jamii ya kasulu,Zitto ni mandela wa kigoma na ndio timaini pekee la wanakigoma waliotengwa na kutelekezwa kwa miaka mingi na serikali ya ccm
zito hana lolote ndiyo maana anashindwa kuchukua maamuzi mpaka sasa a
hahaha mkuu kibogo kweli hili limekuumiza hadi umekuwa spokesmanKweli kutokujua maana ya maneno ni tatizo ebu fafanua hiyo nguvu ya UMMA unamaanisha nini, yaani kutoonekana katika mkutano usiomuhusu basi kakimbia. Tambua hiyo ziara ya ZITTO ni binafsi na haiusiana na chama ulitaka yeye kama Mwenyekiti afanyeje?
zitto Ni kiboko yao,Watakaa chini waombe PoooZitto mtaalam wa Chess ya Siasa. Siku moja kwa masikio yangu nikiwa mahakama ya Kisutu namsikia Tundu Lissu akisifu uwezo wa ujengaji wa hoja wa Zitto. Thei guy is a treasure for the party and the nation, isipokuwa wasiompenda wana lao jambo!