Dr Matola PhD
JF-Expert Member
- Oct 18, 2010
- 56,542
- 93,146
Yote tisa kumi kwenye sekta ya uwindaji usiombe kuwinda chui au nyati kiboyaboya unatandika risasi unajuwa umeuwa kumbe umewekewa mapozi sogeza wowowo lako hapo haraka uone chui huwa anafanyakazi vipi hata mkiwa 20 wote atawaacha na majeraha makali na atatokomea.Sikuwahi kujua kuwa kumbe hata Mwalimu wa Uogoleaji ( Swimming ) nae anaweza Kuzama Baharini au Ziwani au Mtoni kama ambavyo Mwalimu wa Wanyamapori anavyoweza kuraruwiwa vibaya vibaya hadi kujeruhiwa na King of the Jungle a.k.a Lion.
Ukiwa mgeni kwenye uwindaji usithubutu kumsogelea nyati muda huo mliopiga ikiwezekana wekeni alama mrudi kesho asubuhi ndio mbebe nyama kwa usalama wenu.