Picha zinaogofya:Palestina vs Isiraeli

Picha zinaogofya:Palestina vs Isiraeli

Kibo10

JF-Expert Member
Joined
Aug 20, 2013
Posts
11,278
Reaction score
8,868
ImageUploadedByJamiiForums1405000264.178140.jpg eee mungu binadamu wamekuwa wanyama!! ImageUploadedByJamiiForums1405000355.340855.jpg ImageUploadedByJamiiForums1405000406.816381.jpg
 
Hili eneo ni vurugu tupu, kila wakati mauaji. Hali kama hii inakuja A. Mashariki, tazama Arusha, Mombasa, Uganda..... Al-shaabab wamevugwa hasa.
 
Msinishangae bandugu!!!

mimi naona hawa viongozi wa serikali ya palestina hata hesabu rahisi kabisa zinawashinda. Mimi naamini ukiupigania uhuru unatakiwa uupate wewe unayeupigania ukiwa hai.

Manake haya ni maajabu ya binti chura!!! yaani waenda msituni wamchokoza kifafu, akikutoa nduki unakimbilia nyumbani kwako, unaingia kwa mlango wa mbele na kutokea mlango wa nyuma unasepa, kifaru akifika anawakanyaga kanyaga wanao ma mkeo, anawatia pembe watoto wa jirani yako na wanakijiji kwa ujumla,

Wewe unaibukia kwenye magezeti oooh! kifaru mkorofi, eti Kifaru hana chembe ya utu hata kidogo!!! kifaru anawaua watoto, Kifaru anaporomosha majumba ya wanakijiji.

Angalia sasa wameshawaponza raia wao zaidi ya 60 wameshauliwa na "kifaru"

wanavitumaini na kuvihusuuuuuudu vikombora wanavyovirusha kwenye pori la "kifaru" ambavyo havimdhuru kwa vyovyote huyu "kifaru"

Ni busara kwa wapalestina kujitambua kuwa kuna wakati haki yako inaweza kukuangamiza,

KWA NINI UFE KABLA YA WAKATI WAKO?
 
Msinishangae bandugu!!!

mimi naona hawa viongozi wa serikali ya palestina hata hesabu rahisi kabisa zinawashinda. Mimi naamini ukiupigania uhuru unatakiwa uupate wewe unayeupigania ukiwa hai.

Manake haya ni maajabu ya binti chura!!! yaani waenda msituni wamchokoza kifafu, akikutoa nduki unakimbilia nyumbani kwako, unaingia kwa mlango wa mbele na kutokea mlango wa nyuma unasepa, kifaru akifika anawakanyaga kanyaga wanao ma mkeo, anawatia pembe watoto wa jirani yako na wanakijiji kwa ujumla,

Wewe unaibukia kwenye magezeti oooh! kifaru mkorofi, eti Kifaru hana chembe ya utu hata kidogo!!! kifaru anawaua watoto, Kifaru anaporomosha majumba ya wanakijiji.

Angalia sasa wameshawaponza raia wao zaidi ya 60 wameshauliwa na "kifaru"

wanavitumaini na kuvihusuuuuuudu vikombora wanavyovirusha kwenye pori la "kifaru" ambavyo havimdhuru kwa vyovyote huyu "kifaru"

Ni busara kwa wapalestina kujitambua kuwa kuna wakati haki yako inaweza kukuangamiza,

KWA NINI UFE KABLA YA WAKATI WAKO?

Allah akulipe unachostahili
 
eti kifaru kuna watu hata hawafikirii watoto wanakufa unatoa mifano ya ajabu ajabu waisrael wana laana ya shetani.
 
Msinishangae bandugu!!!

mimi naona hawa viongozi wa serikali ya palestina hata hesabu rahisi kabisa zinawashinda. Mimi naamini ukiupigania uhuru unatakiwa uupate wewe unayeupigania ukiwa hai.

Manake haya ni maajabu ya binti chura!!! yaani waenda msituni wamchokoza kifafu, akikutoa nduki unakimbilia nyumbani kwako, unaingia kwa mlango wa mbele na kutokea mlango wa nyuma unasepa, kifaru akifika anawakanyaga kanyaga wanao ma mkeo, anawatia pembe watoto wa jirani yako na wanakijiji kwa ujumla,

Wewe unaibukia kwenye magezeti oooh! kifaru mkorofi, eti Kifaru hana chembe ya utu hata kidogo!!! kifaru anawaua watoto, Kifaru anaporomosha majumba ya wanakijiji.

Angalia sasa wameshawaponza raia wao zaidi ya 60 wameshauliwa na "kifaru"

wanavitumaini na kuvihusuuuuuudu vikombora wanavyovirusha kwenye pori la "kifaru" ambavyo havimdhuru kwa vyovyote huyu "kifaru"

Ni busara kwa wapalestina kujitambua kuwa kuna wakati haki yako inaweza kukuangamiza,

KWA NINI UFE KABLA YA WAKATI WAKO?

Nimeupenda uchambuzi wako jogi! Jukwaa linawahitaji watu wa aina yako na wengine pia
 
every thing on the table Israel whant the world to know they are great nation
 
Mi sioni huruma kwa hawa jamaa..yaaani wao wakiua wa israel poa tu..lkn kibao kikijeuka wanakimbilia magazetini ma kwenye tv kulia.aliyewaambia warushe roketi israel ni nani..si kwamba waliyataka wenyewe....dawa ya moto ni moto
 
every thing on the table Israel whant the world to know they are great nation

Great nation au nation ya mashoga unapigana na vikundi ambavyo havina silaha na pia wamewekewa vikwazo almost miaka 20.hii damu hautopotea ila ipo siku italipwa inshaallah.
 
Mi sioni huruma kwa hawa jamaa..yaaani wao wakiua wa israel poa tu..lkn kibao kikijeuka wanakimbilia magazetini ma kwenye tv kulia.aliyewaambia warushe roketi israel ni nani..si kwamba waliyataka wenyewe....dawa ya moto ni moto
Acha kuongea kama shoga wewe
 
Wazungu Watu wabaya sana!!!!hayo yangefanywa na Iran au nchi wasio na Mahaba nayo wangeitishia na kudai nguvu Kubwa#angalia Ukraine vs Russia
 
eti kifaru kuna watu hata hawafikirii watoto wanakufa unatoa mifano ya ajabu ajabu waisrael wana laana ya shetani.

Hivi mnatumia akili mtu akulipue aue watu wako alafu wewe uangalie tu! Utakuwa hauna timamu.
Kama ni wachokozi acha wapigwe. Maana huu ndio tunaita uzalendo nawale wanaofanya ufisadi je? Kwani hakuna watu wanaokufa kwakukosa dawa hapa bongo ni kwanini si watu wanakosa uzalendo mpaka umpe rushwa ndio utibiwe.
Unajua hospitali za mikoani kuna oxygen concetrater ngapi kila wodi ??


Charity start at home.
 
Great nation au nation ya mashoga unapigana na vikundi ambavyo havina silaha na pia wamewekewa vikwazo almost miaka 20.hii damu hautopotea ila ipo siku italipwa inshaallah.

Sasa kama wanajua hilo kuwa hao mashoga ni greatest than that kwa nini wanawachokoza, ukiona shoga ana kifua kikubwa na nguvu na hasira kuliko wewe basi usimchokoze.wala usimtongoze, atakutwanga tu, na mimi nasema wawatwange tu!! Sababu hakuba namna nyingine.
 
Back
Top Bottom