PICHA: Ziara ya Rais Magufuli nchini Rwanda

Saaafi my Honorable President JPM, naona Paul Kagame anakubeep kubana matumizi (Hajapiga suti) sasa kumuonyesha kwamba wewe ndo muasisi wa kubana matumizi kesho piga pensi na simple kwenye maazimisho ya kimbali.
kamzalau sana mkuu wa nchi lazima umpokee mgeni kwa heshima zote.sasa Kagame kaona ghaa kama anakwenda sokoni.

swissme
 
Saaafi my Honorable President JPM, naona Paul Kagame anakubeep kubana matumizi (Hajapiga suti) sasa kumuonyesha kwamba wewe ndo muasisi wa kubana matumizi kesho piga pensi na simple kwenye maazimisho ya kimbali.
Hilo koti sio bure tu...linamsaidia ku conceal ile pistol yake.
 
Saaafi my Honorable President JPM, naona Paul Kagame anakubeep kubana matumizi (Hajapiga suti) sasa kumuonyesha kwamba wewe ndo muasisi wa kubana matumizi kesho piga pensi na simple kwenye maazimisho ya kimbali.
Japo una kiswahili kibaya ila nimecheka!
 
1. Kagame kapiga casual, safi sana,

2. Kuhusiana shughuli iliyowapeleka Kwa namna hii, ushirikiano wa Tanzania na Rwanda unazidi kuimarika.
 
My take Magufuli should be extra care with Kagame. No one knows what Kagame were doing in DRC
 
JPM vs PK you'd think they're a reflection of a 'hutu' and 'tutsi, even the body size of their wives!
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…